Umwona Daktari wa Uchumi Msalimieni

Umwona Daktari wa Uchumi Msalimieni

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Tanzania tuna Dakatari wa uchumi. Aliyejimwambafai na kutueleza kwamba mambo yote ya kiuchumi wa nchii tumwachie yeye.

Sisi na akina Luhaga Mpina tuendelee kujadili Mambo ya kiganga na kucheza singeli


Mkimwona msalimieni sana mwambieni huku mtaani tunaishi kwa nguvu ya macho..wala hatuji.kama kesho tutafika..


Mods Isomeke "Ukimwona"
 
Tanzania tuna Dakatari wa uchumi. Aliyejimwambafai na kutueleza kwamba mambo yote ya kiuchumi wa nchii tumwachie yeye.

Sisi na akina Luhaga Mpina tuendelee kujadili Mambo ya kiganga na kucheza singeli


Mkimwona msalimieni sana mwambieni huku mtaani tunaishi kwa nguvu ya macho..wala hatuji.kama kesho tutafika..


Mods Isomeke "Ukimwona"
Shemeji achana na Mtu yeyote "anayevaa skafu au Tai yenye bendera ya Tanganyika" hao ni wanafki wa kiwango cha SGR.

Shemeji achana na mtu anaweka profile picture ya JPM au Samia, hao unafki wao unazidi SGR za china.
Hao waweka dp za Magufuli, Samia na Bendera za Tanganyika ni wanufaika wa mfumo , wezi na waganga wa nchi na wengi wao hutumia hizo picha kama kivuli cha wafanyayo.
PHD ilisema tupo uchumu wa kati, ikasema dola zipo za kutosha, ikasema tuna akiba BOT , ikasema asiyetaka kulipiaa bando ahamie burundi.
Mimi nawaheshimu sana wakwe zangu wakinga pale Kariakoo wameishia lasaba ila wana akili kuliko hiI takataka mnaita PHD.
 
Back
Top Bottom