Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Lebanon [emoji1146] ipi arejeshe kwanza baadhi ya maeneo aloyatema mwaka 2006Hili eneo lilitekwa baada ya Syria kuivamia Israel hivyo haliwezi kurudishwa kwa maazimio ya mezani. Israel alishawaambia Syria walisahau hili eneo.
Uchokozi unaofanywa na Hezbollah utasababisha Israeli ateke eneo lingine huko Lebanon.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app