UN inaonekana kukosa meno kwenye masuala nyeti yanayoikumba Dunia. Dunia inapasuliwa katika pande mbili

UN inaonekana kukosa meno kwenye masuala nyeti yanayoikumba Dunia. Dunia inapasuliwa katika pande mbili

Halaf kuna watu humu ndani eti wanajifanya kuililia demokrasia
Wakiambiwa kama demokrasia hapa duniani hakuna wanabisha nakujifanya wanajua sana
Kiufupi hayo mataifa matano ni hayagusiki maana maamuzi ya mataifa yooote duniani yakiungana yanaweza kukwamishwa na mjinga mmoja tu kati ya hao watano
Katika taasisi ambayo sijawahi kuielewa na kuikubali tukea nijitambue na kuitambua basi hili igizo la UN namba moja
 
Itakuwa wana AGENDA zao za siri kwenye hizi vita zinazoendelea.

VITA NI USHETANI (KATAA VITA).

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Back
Top Bottom