UN: Kinachotendeka Gaza ni mithili ya kiama, yaani apocalyptic

UN: Kinachotendeka Gaza ni mithili ya kiama, yaani apocalyptic

Yaani chezea masharubu ya Warusi, Wachina na mataka taka mengine wakiwemo hata Wamarekani ila temana sana na Wayahudi
Hicho kiburi chao kinaletwa na msaada wa mabilioni ya dola na silaha za kisasa kutoka Marekani.

Dunia imewatelekeza watu wa Gaza, Ulimwengu umetekwa nyara na ubeberu wa Marekani na Israel.
 
Raha palestina wanaouliwa ukiwa muislam unaingia peponi maisha mazuri akhera. Mayahudi na wakiristo wao motoni maisha ya dhiki daima ktk maisha yao
Gaza haitokuja iamke tena, tunaipoteza tukiiona hivi hivi, Israel ni hatari, wale watu ni makatili, jameni raisi wangu asiwahi kujichanganya na kuleta shobo kwa Wayahudi, wanapaswa kuogopwa sana.

Yaani chezea masharubu ya Warusi, Wachina na mataka taka mengine wakiwemo hata Wamarekani ila temana sana na Wayahudi, jamaa wanafumua chochote chenye pumzi, gaidi la kidini likijificha nyuma ya akina mama na watoto, hapo Myahudi anatangulia kuua hao watoto ili kukuonyesha huponi.

===============

The situation in Gaza is "apocalyptic" and there is a "heightened risk" of atrocity crimes being committed, the UN human rights chief has warned.

Speaking at a news conference in Geneva, Volker Turk urged Israel and Hamas to urgently take measures to stop such violations being committed.

"My humanitarian colleagues have described the situation as apocalyptic," he said.

"In these circumstances, there is a heightened risk of atrocity crimes."

He has also been asked about Israel revoking visas for some UN officials, and the impact it's having on the investigation of such offences.

Mr Turk said it is easier for the UN to investigate crimes once the "dust settles" and there will always be "lack of cooperation" from some parties.

He explained he has asked to visit Israel, Gaza and the West Bank, but he has not received authorisation yet.
 
Raha palestina wanaouliwa ukiwa muislam unaingia peponi maisha mazuri akhera. Mayahudi na wakiristo wao motoni maisha ya dhiki daima ktk maisha yao
Plus bikra 72,mito ya pombe isilewesha plus m.b.o isiyolala
 
Madam fafanua hii. Unamaanisha Yakobo alivyopambana na malaiika?
Kutoka 33: 5 Bwana akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli, Ninyi ni watu wenye shingo ngumu; kama mimi nikiingia kati yenu dakika moja, nitawaangamiza; basi sasa vueni vyombo vyenu vya uzuri ili nipate kujua nitakalowatenda.
 
Sasa kwa nini wasichukue hatua?
Wamewaachia Wayahudi wachukue hatua. Hakuna hatua zaidi ya hapo - walijitakia wenyewe. Ngoja wafundishwe somo la ujinga + kiburi = Kiama binafsi hususan inapokuwa ulisha onywa matokeo yake.
 
Ni article ya ngapi inayosema uwezo wa kijeshi unapimwa kwa kukomboa mateka na ni kwa muda gani hasa?.

Uko nyuma kuna luten wa Israeli aliwai tekwa na wanamgambo hawa hawa na hadi miaka minne akaja achiwa kwa njia ya mabadilishano, why hapa mwezi mmoja iwe habari?.
Ama hide and seek ni moja ya sifa kuu ya jeshi?.
Huyo jamaa hajui kinachoendelea. Anadhani mbinu za kivita ni sawa na kupigana mweleka au masumbwi a.k.a Ndondi.
Hajasoma "mission" ya IDF hapo ni nini.
 
Israel wanachapika
20231103_234657.jpg
 
Yaani wenzio huko eneo la tukio hali ni tete hadi UN wanalalama Israel iache kuwaangamiza wewe unasema Israel wanachapika!

Akili za Alwaz

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida yako unaamini Propaganda za wazungu na mazayuni.Huku ground hali ni tete sana Israel watamalizwa.Hadi sasa Israel hawajafanikiwa kuua Hamas hata mmoja,wanaua wanawake na watoto tuu.Chezea kitu ingine lakini si wanamuqawama wa hamas.Ogopaaaaaaa ni hatarrriiiiii
 
Back
Top Bottom