Hicho kiburi chao kinaletwa na msaada wa mabilioni ya dola na silaha za kisasa kutoka Marekani.Yaani chezea masharubu ya Warusi, Wachina na mataka taka mengine wakiwemo hata Wamarekani ila temana sana na Wayahudi
Madam fafanua hii. Unamaanisha Yakobo alivyopambana na malaiika?Israeli walimshinda Mungu mwenyewe na akataka kuwaua wote sembuse hao Hamas
Wataogelea kwenye maji yenye kinyesi na mkojo?😂😂😂 Hamas wanafurahi wanaletewa maji ya kuoga.
Una utoto mwingi sana ,wewe ni Mzee Wa hovyoIsraeli walimshinda Mungu mwenyewe na akataka kuwaua wote sembuse hao Hamas
Mungu nifundishe kunyamaza.Una utoto mwingi sana ,wewe ni Mzee Wa hovyo
Gaza haitokuja iamke tena, tunaipoteza tukiiona hivi hivi, Israel ni hatari, wale watu ni makatili, jameni raisi wangu asiwahi kujichanganya na kuleta shobo kwa Wayahudi, wanapaswa kuogopwa sana.
Yaani chezea masharubu ya Warusi, Wachina na mataka taka mengine wakiwemo hata Wamarekani ila temana sana na Wayahudi, jamaa wanafumua chochote chenye pumzi, gaidi la kidini likijificha nyuma ya akina mama na watoto, hapo Myahudi anatangulia kuua hao watoto ili kukuonyesha huponi.
===============
The situation in Gaza is "apocalyptic" and there is a "heightened risk" of atrocity crimes being committed, the UN human rights chief has warned.
Speaking at a news conference in Geneva, Volker Turk urged Israel and Hamas to urgently take measures to stop such violations being committed.
"My humanitarian colleagues have described the situation as apocalyptic," he said.
"In these circumstances, there is a heightened risk of atrocity crimes."
He has also been asked about Israel revoking visas for some UN officials, and the impact it's having on the investigation of such offences.
Mr Turk said it is easier for the UN to investigate crimes once the "dust settles" and there will always be "lack of cooperation" from some parties.
He explained he has asked to visit Israel, Gaza and the West Bank, but he has not received authorisation yet.
Gaza ceasefire latest: Hamas attacks Netanyahu as it releases bodies of four Israeli hostages
Hamas has released the bodies of four Israeli hostages - including a mother and her two children. Six living hostages will be released under the ceasefire agreement between Hamas and Israel at the weekend.news.sky.com
Plus bikra 72,mito ya pombe isilewesha plus m.b.o isiyolalaRaha palestina wanaouliwa ukiwa muislam unaingia peponi maisha mazuri akhera. Mayahudi na wakiristo wao motoni maisha ya dhiki daima ktk maisha yao
Kutoka 33: 5 Bwana akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli, Ninyi ni watu wenye shingo ngumu; kama mimi nikiingia kati yenu dakika moja, nitawaangamiza; basi sasa vueni vyombo vyenu vya uzuri ili nipate kujua nitakalowatenda.Madam fafanua hii. Unamaanisha Yakobo alivyopambana na malaiika?
Plus bikra 72,mito ya pombe isilewesha plus m.b.o isiyolala
Plus bikra 72,mito ya pombe isilewesha plus m.b.o isiyolala
Naaam. Wakati huo wakiristo na mayahudi wanakunywa maji ya moto na usahaPlus bikra 72,mito ya pombe isilewesha plus m.b.o isiyolala
Wamewaachia Wayahudi wachukue hatua. Hakuna hatua zaidi ya hapo - walijitakia wenyewe. Ngoja wafundishwe somo la ujinga + kiburi = Kiama binafsi hususan inapokuwa ulisha onywa matokeo yake.Sasa kwa nini wasichukue hatua?
Huyo jamaa hajui kinachoendelea. Anadhani mbinu za kivita ni sawa na kupigana mweleka au masumbwi a.k.a Ndondi.Ni article ya ngapi inayosema uwezo wa kijeshi unapimwa kwa kukomboa mateka na ni kwa muda gani hasa?.
Uko nyuma kuna luten wa Israeli aliwai tekwa na wanamgambo hawa hawa na hadi miaka minne akaja achiwa kwa njia ya mabadilishano, why hapa mwezi mmoja iwe habari?.
Ama hide and seek ni moja ya sifa kuu ya jeshi?.
Hakuna mahali au maandiko walipoahidiwa hayo.Naaam. Wakati huo wakiristo na mayahudi wanakunywa maji ya moto na usaha
Swadakta,Naaam. Wakati huo wakiristo na mayahudi wanakunywa maji ya moto na usaha
Israel wanachapika
TakbiiiiiiiirHata yaliyotendaka octoba Saba huko Israel yalikuwa ni zaidi ya kiyama
Shida yako unaamini Propaganda za wazungu na mazayuni.Huku ground hali ni tete sana Israel watamalizwa.Hadi sasa Israel hawajafanikiwa kuua Hamas hata mmoja,wanaua wanawake na watoto tuu.Chezea kitu ingine lakini si wanamuqawama wa hamas.Ogopaaaaaaa ni hatarrriiiiiiYaani wenzio huko eneo la tukio hali ni tete hadi UN wanalalama Israel iache kuwaangamiza wewe unasema Israel wanachapika!
Akili za Alwaz
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakristo na Mayahudi watapata taaaaaaab sanaNaaam. Wakati huo wakiristo na mayahudi wanakunywa maji ya moto na usaha