UN: Ni rahisi kusambaza habari potoshi kupitia WhatsApp

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Umoja wa Mataifa (UN) kupitia ukurasa wake wa twitter wameutaja mtandao wa kijamii wa WhatsApp kama njia rahisi ya kusambaza taarifa zisizo sahihi.

Wameandika ujumbe kupitia WhatsApp huweza kuonekana kama umetoka kwa mtu wa karibu. Wamesema ni muhimu kuhakiki ujumbe kabla ya kuutuma kwa wengine.

Wataalamu wa Usalama wa mtandaoni wamekuwa wakishauri matumizi ya mitandao mingine kam telegram na signal kwa uthabiti wa ulinzi na usalama wake ukilinganisha na WhatsApp.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…