Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Poleni sana wana Congo
Z
Z
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena saanaa, kwamba waleta amani ndo waleta matatizo ngoja huruma za Mwenyezi Mungu ziwashukie ndo watajuaDuh!...inasikitisha kwa kweli
Sahihi kabisa Mkuu Kilembwe!Hawa wakipata wanasheria wazuri, UN italazimika kuwalipa vizuri maana wao ndio wamewasababishia madhira hayo
Hizi zinaitwa tortious cases...kuna wanasheria mabingwa katika eneo hili wawasaidie!Sahihi kabisa Mkuu Kilembwe!
Wanasheria wajitokeze kuwasaidia hawa ndugu zetu - Wahanga wa Ubakaji.
Wana wa Congo wanateseka sana. Utajiri wao unawaponza sana 😥Poleni sana wana Congo
Z
Mhanga anamtoa wapi mwanasheria huku kula yake tu ya tabuHawa wakipata wanasheria wazuri, UN italazimika kuwalipa vizuri maana wao ndio wamewasababishia madhira hayo
Kwa kawaida kesi kama hizi wanasheria hujitolea kutafuta haki ya wahanga, ikipatikana ndio hulipwa kwa makubaliano na wadai. Hizi zimefanyaika sana hasa huko US against makapuni kakubwa hasa ya vipodozi na sasa hivi kuna move agianst kampuni moja inatengeneza diapers za watoto na hata kampuni ya Johnson and JohsonMhanga anamtoa wapi mwanasheria huku kula yake tu ya tabu
DNA tests kwa watoto maelfu na wafanyakazi wa UN zaidi ya 27,000 tangia 1999, hiyo garama yake unaijua? Na hata ikifanyika utawawajibishaje na kwa sheria zipi?UN kupitia WHO wafanye DNA tests kwa hao watoto na hao peacekeepers wao wote hasa wanaume ili kila mhusika apewe mtoto wake.
Mungu awafanyie wepesi kwa kweliWana wa Congo wanateseka sana. Utajiri wao unawaponza sana 😥
Tanzania againThe majority of the absent fathers were from Tanzania and South Africa, while others were from Morocco, Uruguay, Nepal and Bangladesh
Usilinganishe mashirika na nidhamu ya jeshiKama Raia wa nchi nyingine wanavyoacha watoto hapa Tanzania.
Kuna watoto wengi tu ambao wamezaliwa hapa kutokana na baba zao kuja kufanya kazi za mikataba hapa.
Mikataba inapokwisha wanaondoka na kuacha vilio kwa wahusika.
Hili ni janga.