UN: Raia 150 wauawa nchini DRC katika mapigano wiki mbili zilizopita

UN: Raia 150 wauawa nchini DRC katika mapigano wiki mbili zilizopita

ulaya walisimama dhdi ya ndugu yao , nyinu mpo kimya badala ya kulaumu wanaosaidiana basi inabid mlaumiane kwa kutosaudiana ,leo ni siku ya 4 Sudan kuna hata Umoja wa afrika wapo kimya
Waafrika wanapenda kubweteka sana na kusubiria wengine wafanye.
 
Yangekua yametokeaa kwa Zele kelele za taasisi za wazungu wenzie na wa Africa wanaoshabikia wazungu zingekua nyingi mnooo, ila kwakua ni wa Africa ndo wanaouana jamii waala haistuki kiviiiiileee

Ukraine akifa raia hata mmoja tuh dunia nzima inalaani tena na mitz kibao inafungua uzi humu ila kwa wenzetu tuko kimyaaa
 
Back
Top Bottom