ulaya walisimama dhdi ya ndugu yao , nyinu mpo kimya badala ya kulaumu wanaosaidiana basi inabid mlaumiane kwa kutosaudiana ,leo ni siku ya 4 Sudan kuna hata Umoja wa afrika wapo kimya
Yangekua yametokeaa kwa Zele kelele za taasisi za wazungu wenzie na wa Africa wanaoshabikia wazungu zingekua nyingi mnooo, ila kwakua ni wa Africa ndo wanaouana jamii waala haistuki kiviiiiileee