Murudishie hera zake.Kwani mkiandika ndio Mimi nitaacha kuonyesha ujinga wenu? Hiyo ndio Kazi yangu ku deal na takataka kama wewe..
Ni mgeni gani anaefurahishwa huko Ololosokwan?Wewe umejuaje kuwa siijui Loliondo kama siyo kujionyesha upumbavu tu!
Uhalisia wake unaoujua wewe ni upi? Kuwafurahisha wageni kwa kuwatesa wananchi, ndio uhalisia unaokuondoa akili kichwani?
Rubbish 🚮🚮🚮🚮Murudishie hera zake.
Umwambie kabisa kwamba. Umeshidwa. Humu watu wanahoja nzito na wewe umebaki kutukana tu. Sawa?.
Ukuendelea na matusi tutakureport kwa admini akupige bani la miezi kadhaa.
Eneo la urithi wa dunia halipaswi kuguswa na yeyote zaidi ya wakazi wake asilia ambao ni WamasaiNimeshtuka kuona Suala la WAMASAI kuhamishwa NGORONGORO Linapingwa na DUNIA
Mnaolijua vizuri hebu tuambieni Kwanini WANAHAMISHWA wameukosa NINI wakati ni ENEO lao la ASILI?
Je Wakihamishwa ENEO lina kuwa la NANI?
View attachment 2262467
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Hivyo hivyo,hakuna wanaemtisha..
Maendeleo yetu tunapanga wenyewe..
Wanadakia vimaelezo vya wakenya ndio reference?
Leo ndio awabariki?Mungu wabariki Wazungu
Tunajidhalilisha sana. Hata vyoo!Acha ujinga, Maendeleo gani unayojipangia mwenyewe wakati bajeti yako 60% inawategemea wao?? Pesa ya matundu ya choo tu imetoka kwao.
Sovereignty exists theoretically, practically you are just a remote.I don't second the ruthless confrontation and the consequent scourge inflicted upon both the Maasai and the police; however, we are a sovereign country retaining the right to resolve our internal matters. Sidhani wangetuingilia kama ingekuwa uongozi wa Mwl. Nyerere au Mkapa au Magufuli.
Fala wewe ,maendeleo ya kupigana mabomu na kuuwana ?,huyo mwarabu hachukui hilo eneo kwa hila ,atatosha tu warume wamelivalia njugahakuna wanaemtisha..
Maendeleo yetu tunapanga wenyewe..
Wanadakia vimaelezo vya wakenya ndio reference?
Wakimsifia rais wenu mnachekeleaUN experts ni akina nani? Experts on what? Watanzania tuachaneni na upumbavu Wa hawa outsiders kuanzia Kenya hadi huko sijui UN.
Hakuna kitu kinaitwa UN experts halafu wakawa na nguvu ya kutia tamko juu ya nchi nyingine. Wakati Lissu akipokea mvua ya risasi hao experts mbona hawakutoa hata neno moja?
Au hicho Kitengo kilikuwa hakijaundwa kipindi kile? Upumbavu tu wa Wakenya. Ecologicaly, anthropogenic activities should stop in Ngorongoro, Hilo Halina ubishi na Rais SSH anajua hili Kwa sababu akiwa Makamu Wa Rais alisimamia Division of Environment at the Office Vice President. She is well informed. Ngorongoro isiwe kichaka cha kuchungia Wakenya. No
Hakumaanisha hivyo...Wamaasai wameishi pale zaidi ya miaka 100 ulikuwa unawapeleka wewe chooni.
Mbele ya Marekani watanzania nafasi yetu ni kama ya Marekani pale urusi. Akikata bomba la mikopo IMF tutarudi kule kule kukwapua michango ya wastaafu ili kuendesha serikali yetu😂😂😂Acha ujinga, Maendeleo gani unayojipangia mwenyewe wakati bajeti yako 60% inawategemea wao?? Pesa ya matundu ya choo tu imetoka kwao.
Ndiyo ukweli mkuuHilo nalo neno
Anaongea tu pamoja na kwamba Marekani anatoa misaada lukuki lakini bado tunalilia na kuombaMbele ya Marekani watanzania nafasi yetu ni kama ya Marekani pale urusi. Akikata bomba la mikopo IMF tutarudi kule kule kukwapua michango ya wastaafu ili kuendesha serikali yetu😂😂😂
Kuweni wapole hawa wajinga wataleta tozo mpaka ya kugongana na wake zetu usiku.
Mtu akiandika kiingereza basi ni mzungu, akili za chadema hovyo kabisa.Mungu wabariki Wazungu
Walimuomba awajengee vyoo?Hakumaanisha hivyo...
Amemaanisha Mama kawastiri...
Walikuwa hawana hata choo kwenye makazi yao, Mama kawapa hifadhi ya makazi, eneo, na vyoo ambavyo hawakuwa navyo hapo mwanzo, na zaidi ya hayo Mama kawapa mpaka hati pia kawatunukia!