HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Usitudanganye
Moja mshindi hapewi kiasi chote alichoshinda maana kuna kodi ndani yake hivyo kutuaminisha kuwa uneshinda milioni 109 na kuzipata zote hiyo ni moja wapo ya uongo....
Kule kwenye jukwaa letu ulisema kuwa malipo yanafanyika kwa benki 3 yaani Exim, Crdb na Dcb.
Ukasema tena kuwa umeshafungua acc exim jana
Leo unasema kuwa umepewa checque iliyoandikwa 109mil
Leo unatuambia kuwa unaenda chukua hela...
Kwa nijuavyo checque ikishazidi 1mil kama wewe sio mmliki wa account au signatory basi hiyo hela hutapewa zaidi utaambiwa udeposit checque
Hadi hapo nahitimisha kuwa wewe si mahindi wa zile hela
Wewe ni muongo
Bet What You can Afford to Lose
Bet Responsibly
Moja mshindi hapewi kiasi chote alichoshinda maana kuna kodi ndani yake hivyo kutuaminisha kuwa uneshinda milioni 109 na kuzipata zote hiyo ni moja wapo ya uongo....
Kule kwenye jukwaa letu ulisema kuwa malipo yanafanyika kwa benki 3 yaani Exim, Crdb na Dcb.
Ukasema tena kuwa umeshafungua acc exim jana
Leo unasema kuwa umepewa checque iliyoandikwa 109mil
Leo unatuambia kuwa unaenda chukua hela...
Kwa nijuavyo checque ikishazidi 1mil kama wewe sio mmliki wa account au signatory basi hiyo hela hutapewa zaidi utaambiwa udeposit checque
Hadi hapo nahitimisha kuwa wewe si mahindi wa zile hela
Wewe ni muongo
Bet What You can Afford to Lose
Bet Responsibly