Una beti upate hela ama kufurahisha nafsi.. Kama unataka upate hela niige mimi mshindi wa Perfect 12

Una beti upate hela ama kufurahisha nafsi.. Kama unataka upate hela niige mimi mshindi wa Perfect 12

Usitudanganye

Moja mshindi hapewi kiasi chote alichoshinda maana kuna kodi ndani yake hivyo kutuaminisha kuwa uneshinda milioni 109 na kuzipata zote hiyo ni moja wapo ya uongo....

Kule kwenye jukwaa letu ulisema kuwa malipo yanafanyika kwa benki 3 yaani Exim, Crdb na Dcb.
Ukasema tena kuwa umeshafungua acc exim jana

Leo unasema kuwa umepewa checque iliyoandikwa 109mil

Leo unatuambia kuwa unaenda chukua hela...

Kwa nijuavyo checque ikishazidi 1mil kama wewe sio mmliki wa account au signatory basi hiyo hela hutapewa zaidi utaambiwa udeposit checque


Hadi hapo nahitimisha kuwa wewe si mahindi wa zile hela

Wewe ni muongo



Bet What You can Afford to Lose
Bet Responsibly
 
Usiganganye watu.

1. Hakuna bingwa wa kubeti kwa ni kila timu inayoingia kwenye mchezo inataka kushinda ama kutoshindwa (bila kujali odd zilizotolewa)

2. Hana timu dhaifu kwani matokeo haumuliwa na dakika tisini hivyo usiidharau sana timu ukaishiwa kuliwa hela zako ( kama unataka majibu kama ulivyobeti nenda kwenye hizo timu ukacheze wewe ulazimishe matokeo utakavyo)

3. Suala la kubeti timu chaeche ama nyingi risk ya kuliwa ipo pale pale

4.Unapobeti timu chache maana yake odd nazo ni chache kwa maana nyingine lazima uweke hela kubwa , na haimaanishi kwa kuwa umeweka hata timu moja basi hutoliwa

5. Mfano wa timu 3 za over 2.5 ulizocheza kwa 30,000/= nikiangalia odd zake hazizidi hata 7 na ni moja wapo ya option ambayo ina risk kubwa sana kupotea, ukirudia tena hata mara 10 yamkini ukabahatisha mara 1 tuu, na ndio chance uliyokutana nayo na usijione bingwa sana

6. Tofauti ya mtu anayebeti timu nyingi na chache ni kwamba yule anaye beti timu chache anapoteza fedha nyingi sana katika ku bet na kama ni mfanya biashara jiandae kufilisika, lakini huyo anayebiti timu nyingi anakusanya odd nyingi kwa hela kidogo na akibahatisha mara moja hata kwa miaka 5 anakuwa ametoka kama wewe ulivyobahatisha hiyo perfect 12

7.Huu ni moja kati ya mchezo hatari sana na ningekuwa na mamalaka ningefukuza makampuni yote ya kubeti na kufungia mitandao yote ya online betting Tanzania kwa kuwa inazalisha Taifa maskini, watu hawataki kufanya kazi wanatarajia miujiza, wanafunzi wanaliwa ada, wazazi wanaliwa hela za kutunza familia, wafanyabiashara wanafilisika, watumishi wa Umma hawaridhiki na mishahara kwani wanazipeleka huko, watu hawafanyi kazi ngumu kutwa kucha wanatembea na vikaratasi mfukoni,

8. Bunge lipiteshe sheria ya dharura kuzuia mchzo huu haramu ambao unashusha thamani ya shilingi kwa kasi, sijui wachumi wako wapi, sijui wizara ya fedha inasema nini kuhusu hili, hali ni mbaya zaidi ya maelezo, kampuni zinazidi kuongezeka bongo kuja kuchota hela za bure, kwa siku watu wanaliwa zaidi ya bilioni moja na mshindi wa kupata kama ulizozipata waweza kupata baada ya miezi hata minne.

9. Say no to betting

Acha kuleta udini kwenye biashara za watu. Fanya kile moyo wako unakutuma ilimradi usivunje sheria za nchi.
 
Dogo kule jukwaani ulikuwa unalilia hela yako ukanunue USB, hivi mtu alieshinda 100M anaweza kulalamika hajalipwa na muhind pesa ambayo mahesabu yake ni kununu USB cable?
 
kila mtu na ugonjwa wake eti kubet huoo upuuzi siwezi ufanya
Kwa kuwa hujiwezi ndio upuuzi?

Mimi MkekaBet ndio wanaonilipia petrol. Kwa shilingi 15,000 napata hadi 230,000 kutegemeana na wikiendi ina timu gani. Hivi sasa ligi nyingi zimefikia ukingoni, naona sasa safari zangu zitaanza kuwa limited.
 
Usiganganye watu.

1. Hakuna bingwa wa kubeti kwa ni kila timu inayoingia kwenye mchezo inataka kushinda ama kutoshindwa (bila kujali odd zilizotolewa)

2. Hana timu dhaifu kwani matokeo haumuliwa na dakika tisini hivyo usiidharau sana timu ukaishiwa kuliwa hela zako ( kama unataka majibu kama ulivyobeti nenda kwenye hizo timu ukacheze wewe ulazimishe matokeo utakavyo)

3. Suala la kubeti timu chaeche ama nyingi risk ya kuliwa ipo pale pale

4.Unapobeti timu chache maana yake odd nazo ni chache kwa maana nyingine lazima uweke hela kubwa , na haimaanishi kwa kuwa umeweka hata timu moja basi hutoliwa

5. Mfano wa timu 3 za over 2.5 ulizocheza kwa 30,000/= nikiangalia odd zake hazizidi hata 7 na ni moja wapo ya option ambayo ina risk kubwa sana kupotea, ukirudia tena hata mara 10 yamkini ukabahatisha mara 1 tuu, na ndio chance uliyokutana nayo na usijione bingwa sana

6. Tofauti ya mtu anayebeti timu nyingi na chache ni kwamba yule anaye beti timu chache anapoteza fedha nyingi sana katika ku bet na kama ni mfanya biashara jiandae kufilisika, lakini huyo anayebiti timu nyingi anakusanya odd nyingi kwa hela kidogo na akibahatisha mara moja hata kwa miaka 5 anakuwa ametoka kama wewe ulivyobahatisha hiyo perfect 12

7.Huu ni moja kati ya mchezo hatari sana na ningekuwa na mamalaka ningefukuza makampuni yote ya kubeti na kufungia mitandao yote ya online betting Tanzania kwa kuwa inazalisha Taifa maskini, watu hawataki kufanya kazi wanatarajia miujiza, wanafunzi wanaliwa ada, wazazi wanaliwa hela za kutunza familia, wafanyabiashara wanafilisika, watumishi wa Umma hawaridhiki na mishahara kwani wanazipeleka huko, watu hawafanyi kazi ngumu kutwa kucha wanatembea na vikaratasi mfukoni,

8. Bunge lipiteshe sheria ya dharura kuzuia mchzo huu haramu ambao unashusha thamani ya shilingi kwa kasi, sijui wachumi wako wapi, sijui wizara ya fedha inasema nini kuhusu hili, hali ni mbaya zaidi ya maelezo, kampuni zinazidi kuongezeka bongo kuja kuchota hela za bure, kwa siku watu wanaliwa zaidi ya bilioni moja na mshindi wa kupata kama ulizozipata waweza kupata baada ya miezi hata minne.

9. Say no to betting
Una matatizo kichwani
 
*****...
Nimetoka kuwekewa mzigo wangu wa milioni 102. Kodi nimekatwa milioni 7.23.
Hapa ninatoa hizo milioni 2+ natumia kama mtaji wa kubeti.
Kesho naenda kuchek Toyota Allex pale Kinondoni B.
 
*****...
Nimetoka kuwekewa mzigo wangu wa milioni 102. Kodi nimekatwa milioni 7.23.
Hapa ninatoa hizo milioni 2+ natumia kama mtaji wa kubeti.
Kesho naenda kuchek Toyota Allex pale Kinondoni B.
nifundishe nama manake nilibeba mzgo mara moja tu
 
Kwa kuwa hujiwezi ndio upuuzi?

Mimi MkekaBet ndio wanaonilipia petrol. Kwa shilingi 15,000 napata hadi 230,000 kutegemeana na wikiendi ina timu gani. Hivi sasa ligi nyingi zimefikia ukingoni, naona sasa safari zangu zitaanza kuwa limited.
Guyz hayo mambo nifundisheni nalizwa daily
 
Unalala masikini unaamka tajiri..

Hii inawezekana tu kama una beti kibiashara zaidi.. Sio kubeti kama mchezo... Tumia akili..

Ukitaka kupiga hela za betting tumia mbinu hii ambayo imeniwezesha kushinda milioni 109+ jumamosi ya juzi kutoka kampuni moja hapa bongo.

Fanya hivi:
Weka pesa kubwa ya maana kwenye mechi tatu za uhakika.
Mechi zisizidi tatu.
Acha tamaa.. Watu wengi wana beti kimaskini.. Mtu anaweka jero, au buku... Anabeti mechi 16 ili apate 8,500,000/=.
Are you crazy????

Wewe umekua mungu kujua outcome ya mechi 16 zote???
Utaendelea kuliwa vi buku buku vyako milele amina.

Mie huwa naweka minimum 10,000 kwenye mkeka wa mechi za uhakika 3 tu.

Mfano juzi kwenye hitimisho la EPL. Niliweka 30,000 nikabeti over 2.5 mechi tatu tuu za Chelsea, Tottenham na Liverpool.
Nimevuta mkwanja wangu wa uhakika.

Hii perfect 12 niliyoshinda juzi huwa siipi sana kipaumbele..
Maana probability ya kushinda ndogo mno. Anyway, kwa kuwa ni buku tuu natakiwa niweke, basi huwa hainiumi kivile.
Juzi kama zali bana, mwanaume nimelamba M zangu 109+ na ushee..

Leo ndio naenda kuchukua huo mpunga wangu benki.
Hizo milioni 9+ ndio mtaji wa kubetia. Game tatu, natia mzigo wa laki 5.

Acheni kubeti kimaskini. Weka hela kubwa mechi tatu tu.
Ukiweka 10,000 unapata 70,000 una hasara gani hapo.
Hilo nalo ni neno kweli umenifunza kaka
 
Usiganganye watu. Say no to betting
Adanganye asidanganye poa tu, yeye kaelezea starehe yake, hata wewe unazo, betting ni starehe na kufaidika, kwako sio starehe, labda utataka uzikwe na mali zako kitu ambacho hakiwezekani hata kidogo, kaja duniani kapata mali na fedha zake, wacha azitumie atakavyo bila kuvunja sheria, wewe usiependa kaa pembeni fanya upendalo bila kuvunja sheria.
Usiingilie starehe za watu mkuu.
 
Mtu kwenye perfect 12 umeweka buku halafu unaleta dharau...
Bwana mdogo acha ufala, 109 M sio hela within seconds inakwisha yote.
Kama akili zenyewe ndio hizi hapa.
 
hakuna mtaalamu wa kubet acha kurubuni watu. uaweza ukaweka mechi moja na bado ukapigwa
 
Mtu kwenye perfect 12 umeweka buku halafu unaleta dharau...
Acha ufala, milioni 109 sio hela .

Wapi nimeonesha dharau bro...
Ama unanionea wivu tu na bingo langu.
Hili ni zali tu mzee. Nimeliwa sana buku buku zangu usione hivi.
Kaa na wivu yako tuone utaishia wapi sasa.
 
Kuna mtu wa karibu sana ananishawishi huu mchezo. I think I will give it a shot, japo sina A wala B, nitasoma hadi nielewe..Dah!!
Mkuu yaani upo kama mm, mm huwa sielewi kabisa naona tu vijana wamejaa wanafanya yao
 
Back
Top Bottom