Una duka dogo la rejareja, mtaji ni mdogo na umezungukwa na maduka mengi na ushindani ni mkubwa?

Una duka dogo la rejareja, mtaji ni mdogo na umezungukwa na maduka mengi na ushindani ni mkubwa?

Amen boss
Ilibidi kweli tuengage more and more tujifunze na kujifunza
 
Amen boss
Ilibidi kweli tuengage more and more tujifunze na kujifunza
Kuna topic hapa tulisha-discuss sana haya. Tatizo ni kuwa maduka mengi Tanzania watu wanaigana makosa wakidhani ndiyo duka linalotakiwa kuwa hivyo. Kuna jambo jingine: Wakati wa kutoa huduma unakuta wauzaji hawampi attention mnunuzi. Unakuta muuzaji anapiga story na rafiki yake pembeni au kwenye simu huku anahudumia. Hii ni sumu mbaya sana. Unapomhudumia mteja inatakiwa unamwangalia machoni, unakuwa na tabasamu na attention yote unaelekeza kwake. Kwa wale waliobahatika kusafiri nje ya nchi nadhani wameshangaa sana kuona wahudumu wa eg maduka walivyo charming na kuipenda kazi yao. Hata Kenya wamepiga hatua kuliko sisi mara kumi. Tanzania bado wenye maduka wana ile kasumba ya kujiona mwenye duka ndiyo anayetakiwa kunyenyekewa. Na bado kuna mambo mengine madogo madogo mengi sana ambayo unaweza kuongezea kwenye hii thread. Vitu kama wauza maduka kutongoza wanawake wanaokwenda pale (hasa ma-house girls), kukosa chenji wateja wanaponunua bidhaa au kukataa kupokea noti ya 10,000 kama unanunua kitu cha bei ndogo, eti hakuna chenji, Muuzaji kumsakizia bidhaa mbovu mteja bila kujua, nk
 
Kuna topic hapa tulisha-discuss sana haya. Tatizo ni kuwa maduka mengi Tanzania watu wanaigana makosa wakidhani ndiyo duka linalotakiwa kuwa hivyo. Kuna jambo jingine: Wakati wa kutoa huduma unakuta wauzaji hawampi attention mnunuzi. Unakuta muuzaji anapiga story na rafiki yake pembeni au kwenye simu huku anahudumia. Hii ni sumu mbaya sana. Unapomhudumia mteja inatakiwa unamwangalia machoni, unakuwa na tabasamu na attention yote unaelekeza kwake. Kwa wale waliobahatika kusafiri nje ya nchi nadhani wameshangaa sana kuona wahudumu wa eg maduka walivyo charming na kuipenda kazi yao. Hata Kenya wamepiga hatua kuliko sisi mara kumi. Tanzania bado wenye maduka wana ile kasumba ya kujiona mwenye duka ndiyo anayetakiwa kunyenyekewa. Na bado kuna mambo mengine madogo madogo mengi sana ambayo unaweza kuongezea kwenye hii thread. Vitu kama wauza maduka kutongoza wanawake wanaokwenda pale (hasa ma-house girls), kukosa chenji wateja wanaponunua bidhaa au kukataa kupokea noti ya 10,000 kama unanunua kitu cha bei ndogo, eti hakuna chenji, Muuzaji kumsakizia bidhaa mbovu mteja bila kujua, nk
Daah boss umetisha sana mkuu wangu nimetake note as follows
1.Customer care

2.kutongoza kweny biashara hii ni mbaya sana unatengeneza loopholes za wazi sana endapo huyo mteja akikubali kua kimahusiano nawe basi jua mahitaji yake yanayomletaga kwako utayagharamikia wwe muuzaji bdhaa itatoka ka sandakalawe na endapo akikukataa basi jua fika kabisa umemfukuza moja kwa moja hatorudi tena kwako.
 
Daah boss umetisha sana mkuu wangu nimetake note as follows
1.Customer care

2.kutongoza kweny biashara hii ni mbaya sana unatengeneza loopholes za wazi sana endapo huyo mteja akikubali kua kimahusiano nawe basi jua mahitaji yake yanayomletaga kwako utayagharamikia wwe muuzaji bdhaa itatoka ka sandakalawe na endapo akikukataa basi jua fika kabisa umemfukuza moja kwa moja hatorudi tena kwako.
Ni kweli. Na wale wasiotaka kutongozwa wataona ni kero hivyo kuacha kwenda pale dukani. Nilikuwa na house girl kila tukimtuma anakwenda duka la mbali alilokuwa anauza mwanadada mmoja. Kuja kuchunguza nikagundua lile duka la karibu alikuwa anasumbuliwa na yule muuzaji na yeye ni mtu wa dini, hataki.
 
Back
Top Bottom