SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Hawakukuambia binadamu alianza kuwa sokwe bali walikufundisha nadharia (theories) mbili juu ya asili ya binadamu, ya kwanza ikiwa ni creation theory (nadharia ya uumbaji) ambayo huungwa mkono na dini. Na pili ni theory of evolution inayoungwa mkono na wanasayansi.Waliniambia kuwa binadamu walianza sokwe kisha akabadirika na kuwa mwanadamu. Nawasubiri awa sokwe wa uku porini hakuna ata anayeelekea kwenye ubinadamu wanazeeka tu
Nadharia (theories) ni mawazo na hoja tu ambazo pia zaweza kosolewa kwa udhaifu wake. So teacher hakukosea kitu, bali alikufundisha mawazo kinzani juu ya wapo binadamu katokea. Yafuatayo ni utashi wako sasa kwan waweza kuwa na nadharia yako binafsi