makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Kwa umri huu mkuu? Acha tu inipitenenda kuna vyuo siku hizi vinafunfisha mziki ikiwemo kupiga gitaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa umri huu mkuu? Acha tu inipitenenda kuna vyuo siku hizi vinafunfisha mziki ikiwemo kupiga gitaa
unapiga mshine? una kipaji cha kuandikaMimi ninakipaji kitandani, yaani nikipata demu mkali alafu msafi, yaani napiga mshine usiku kucha
Ndiyo tumezika Juzi hapa na Mikasa ya kariakoo....King kikii ninaemfagamu au mwingine.Kitambaa cheupe ni marehemu?
Mimi pia nachora japo situmii kipaji hiki kupatia mlo ila nafanya tu kujifurahisha mda mwingne.Kuchora!
Nikiwa Primary zile kazi za sanaa nilikuwa napelekwa Ofisini nachora picha mbali mbali, picha kadhaa zilibandikwa kwenye ofisi ya walimu na zingine zilipelekwa maktaba ya shule.
Tangia niache shule, na mambo ya uchoraji yaliishia shuleni.
Wewe na dr MENEMENE TEKERI NA PERESI ni kweli mnachokipaji cha kuchekesha, mimi nina kipaji pia cha kuwatambua wachekeshaji wa asili🤣🤣🤣Stand up comedy nipo vzr snaa...
Kuna wanangu kibao wapo cheka tuu pale na mi ndo nawaandikia content...
Mda wote wanatamani niende pale ila mi nipo nduki na viroba..
Nipo nduki na maseke...
Kwa uchache tuuu mimi ndo nilileta idea ya SENTESI MOJA pale cheka tuu
Wengine wananiita ghost an natoa kitu alafu napita hvi
Kaka usinipe kichwa sikawii kumtafuta Coy mzungu anipe gap cheka tu nifanye yanguWewe na dr MENEMENE TEKERI NA PERESI ni kweli mnachokipaji cha kuchekesha, mimi nina kipaji pia cha kuwatambua wachekeshaji wa asili🤣🤣🤣
Mimi hata kuona nilikuwa sioni dah 🥺Shabaha...
Nakumbuka enzi hizo nipo kule Kj### Hakuna risasi iliyoenda nje ya Range.. mpk wakanibatiza jina la Eagle Eye.. (Kijicho)
Sure bro unaweza mno tu.Kaka usinipe kichwa sikawii kumtafuta Coy mzungu anipe gap cheka tu nifanye yangu
Eeh Nami nichangieni ninakipaji cha kupika chapati Isiyo na mfano (bites kiujumla)Utafanya jambo zuri sana nami ntakuchangia kiasi siku utakayoanza
Haswaaa kufumba jicho moja na kutulia gizani na kuvumilia mbu wakikuchonyonta ni kipaji haswa..Hivi kupiga chabo ni kipaji Kaka ?
Usisahau na maswahibu tunayokutana nayo muda mwingine ,kipigo kutoka kwa wapigwa chabo au kimwagiwa maji ni changamoto katika kipaji hikiHaswaaa kufumba jicho moja na kutulia gizani na kuvumilia mbu wakikuchonyonta ni kipaji haswa..
toa maelezo ya uhakika tunaweza kukuchangiaEeh Nami nichangieni ninakipaji cha kupika chapati Isiyo na mfano (bites kiujumla)
Hayo ni kawaida katika kupambania kipaji chako usichoke manake unapiga chabo muda mwingine mpaka unasahau kwamba una macho mawili..Usisahau na maswahibu tunayokutana nayo muda mwingine ,kipigo kutoka kwa wapigwa chabo au kimwagiwa maji ni changamoto katika kipaji hiki