j'cob mushi
Member
- Feb 26, 2013
- 21
- 13
Ulizaliwa ukiwa na kitu cha kufanya hapa duniani. Kitu hicho kilikua na bado kipo ndani yako mpaka sasa.
Kilichokufanya wewe ukashindwa kukitambua na kwenda kufanya vitu vingine ni mifumo uliyoikuta hapa duniani. Mifumo hii ikakupeleka wewe kwenye kitu ambacho hukuzaliwa kuja kukifanya.
Hakuna wa kukufukuza au kukushusha cheo kwenye kile ulichozaliwa kuja kukifanya. Fanya maamuzi ya kugundua sababu ya wewe kuja duniani.
Nafasi ni yako sasa kugundua Kwanini Ulizaliwa.
Kabla hujatafuta mtu wa kuoa/kuolewa hakikisha kwanza umejua kusudi la wewe kuwepo duniani. Hakikisha umekua na maono.
*Karibu sana kwenye semina itakayofanyika kwa njia ya mtandao yaani barua pepe pamoja na WhatsApp group mwanzoni kabisa mwa Mwaka 2017. Ada ni Tsh 5000 (elfu tano tu)*
Utajifunza mengi sana, Kujitambua, Kipaji, Maono, Malengo, Ujasiriamali.
Kilichokufanya wewe ukashindwa kukitambua na kwenda kufanya vitu vingine ni mifumo uliyoikuta hapa duniani. Mifumo hii ikakupeleka wewe kwenye kitu ambacho hukuzaliwa kuja kukifanya.
Hakuna wa kukufukuza au kukushusha cheo kwenye kile ulichozaliwa kuja kukifanya. Fanya maamuzi ya kugundua sababu ya wewe kuja duniani.
Nafasi ni yako sasa kugundua Kwanini Ulizaliwa.
Kabla hujatafuta mtu wa kuoa/kuolewa hakikisha kwanza umejua kusudi la wewe kuwepo duniani. Hakikisha umekua na maono.
*Karibu sana kwenye semina itakayofanyika kwa njia ya mtandao yaani barua pepe pamoja na WhatsApp group mwanzoni kabisa mwa Mwaka 2017. Ada ni Tsh 5000 (elfu tano tu)*
Utajifunza mengi sana, Kujitambua, Kipaji, Maono, Malengo, Ujasiriamali.
Last edited by a moderator: