Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Wakuu,
Kwanza nilishtuka, na kisha nikajitafakari kidogo then nikaona nikinyamaza itakuwa njema. Nimuite dada, mama, binti ambae ni mwenyeji wa kitambo mbali hapa kwetu.
Ghafla bila hiyana akanambia nimekuwa na majibu (comments) ya/za kukera, lugha mbaya zenye kukwaza. Nimekuwa mzee mkorofi mwenye majibu ya ghafla ndio maana nina sura mbaya hata sivutii na kadhalika.😜
Basi mwenyewe nikatabasamu na nikacheka tena.😂😂 Mwisho nikamuomba radhi kwa kumkera pasipo kumtia neno, nikasema nitaichana bahasha kisha nije niwasomee barua ya siri kwenu hapa ndani.
Na kama kweli nimekuwa kikwazo kwa yeyote, ikikupendeza niandikie ama nitumie barua.
Kwanza nilishtuka, na kisha nikajitafakari kidogo then nikaona nikinyamaza itakuwa njema. Nimuite dada, mama, binti ambae ni mwenyeji wa kitambo mbali hapa kwetu.
Ghafla bila hiyana akanambia nimekuwa na majibu (comments) ya/za kukera, lugha mbaya zenye kukwaza. Nimekuwa mzee mkorofi mwenye majibu ya ghafla ndio maana nina sura mbaya hata sivutii na kadhalika.😜
Basi mwenyewe nikatabasamu na nikacheka tena.😂😂 Mwisho nikamuomba radhi kwa kumkera pasipo kumtia neno, nikasema nitaichana bahasha kisha nije niwasomee barua ya siri kwenu hapa ndani.
Na kama kweli nimekuwa kikwazo kwa yeyote, ikikupendeza niandikie ama nitumie barua.