Una Maoni Gani Kuhusu TECNO, Bajeti Yako na Namna Ulivyoanza Kutumia Smartphone

Una Maoni Gani Kuhusu TECNO, Bajeti Yako na Namna Ulivyoanza Kutumia Smartphone

Mko sahihi, simu yangu ya kwanza kutumia ilikuwa ni tecno p5 kipindi niko mwaka wa 2 chuo kikuu. Hadi sasa natumia simu zz tecno now natumia tecno spark 4 bonge la simu chaji uhakika [emoji991] safi. Msitupangie maisha tecno ni simu poa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Personally simu janja ya kwanza kutumia ilikua iphone 4. Ila nilitumia tecno mwaka juzi baada ya kubadilishana na mdogo wangu. Aisee sijawahi kuona simu ina processor mbovu kama tecno. Ina stuck sana plus inaweza ikajizima tu. yenyewe. Mara ya mwisho ilijizima ikagoma kuwaka baada ya hapo nikavuta Samsung S9

Naelewa kua mnajaribu kutengeneza simu zenye features nyingi za kijanja kwa bei nafuu ili muweze kuwafurahisha wateja wenu. Hii inapelekea muweke proccesor na RAM cheap sana.

Personally siwezi kumshauri mtu ainvest pesa nyingi kwenye bidhaa zenu maana haziaminiki. Ndani ya mwaka simu imechoka.

Anyways kupenda ni kuchagua. All the best kwa watumiaji wa bidhaa pendwa ya tecno. Ila acheni mambo ya voda fasta. Waigeni Samsung muwe na flagship na midrange phones. Ili mtoe simu za maana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haki ya nani daaa 😂 😂 😂 😂 hahaaaaa...
Comments za juu zinatosha kabisa na ndiyo ukweli kabisaaa ndg TECNO_Tanzania
 
Tecno shida yake moja ambayo nlikataa watu waliponambi but nkaja thibitisha,.Ukiiweka mfukoni bila kuzma data utajuta,itafanya mambo ya ajabu kwa sekund chache , kujipiga kwa simu,text itawatumia watu wa 3,itajiunga wifi yenyewd yan hz sm n shida ase
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tecno ni sawa na ile huduma ya kimboka, uwanja wa fisi, mwananyamala temeke nk. Yaani unatumia kwa sababu ya shida tu.
Simu gani mtu anakupigia halafu yenyewe inajifikiria kwanza ndio inaanza kuita!

[emoji23][emoji23][emoji23] Noma
 
Simu za Tecno hadhi hazina kwakweli, zipozipo tu kuwapa wachina wenu ulaji.
 
Back
Top Bottom