Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Yupo sahihiHabari za jumapili.
Katika kuzunguka zangu mtandaoni nikakutana na hii comment ya mdada tena mke wa mtu kwa mujibu wa maelezo yake nanukuu.
"kandake_beauty_tz Nina ndoa ya miaka 12 sijawahi hata kuchangia msumari Kwenye ujenzi na siwezi hili swala niliji funzaga tokea nipo binti niliona vile mama yangu alihangaika na ujenzi alafu akaishia kuishi mwanamke mwingine na wanae.
Sinunui chakula wala silipi ada yani ata nikinunua kitu kwa hela yangu naomba refund . Never trust men kabisaa "
Nini maoni yako?
Ah wee mbona umepotea kule kwenye knowledge za ukweli?Hahaha mzee wa mbususu, i hope mbususu has done good to you in this life
Kule kwenye fact wewe ndo umepotea, tumebaki mimi na Kim Dawizzy wengine sijui mmekimbilia wapiAh wee mbona umepotea kule kwenye knowledge za ukweli?
Ah kwa kweli mbususu has given me memorable moments that i shall take with me to the grave....acha tuu ni starehe namba moja dunia hands down.
Pisi kali muendelee tuu kutupa hizo mbususu zenu.
Alafu u ajua mie nakutamani wacha nikwambie tuu....sasa inakuwaje?
Ah sasa mlete facts kuhusu mbususu bwana....ndio inanoga.Kule kwenye fact wewe ndo umepotea, tumebaki mimi na Kim Dawizzy wengine sijui mmekimbilia wapi
Keep on praising mbususu as usual, you will get want you never had
Crazy you[emoji28][emoji28]Ah sasa mlete facts kuhusu mbususu bwana....ndio inanoga.
Mbususu must be praised and glorified.
Trust me all men go crazy about mbususu...presidents wa dunia knowing whatsa at stake bado wanasasambua mbususuCrazy you[emoji28][emoji28]
Umeshinda, i won't irgue on this, especially with you[emoji119]Trust me all men go crazy about mbususu...presidents wa dunia knowing whatsa at stake bado wanasasambua mbususu
Sawa...ila sasa ombi langu vipi?Umeshinda, i won't irgue on this, especially with you[emoji119]
Mbususu ziko nyingi huko ambazo hazijamilikiwa kimbizana nazo[emoji28][emoji28], zilizomilikiwa kaa nazo mbaliSawa...ila sasa ombi langu vipi?
Utam utamuMbususu ziko nyingi huko ambazo hazijamilikiwa kimbizana nazo[emoji28][emoji28], zilizomilikiwa kaa nazo mbali
Hiyo sio ndoa, ndoa ambayo unaogopa hata kuchangia maendeleao ya familia yako maana yake humuamini mume wako, kama mmefikia hatua ya wewe kuogopa kuchangia jambo lolote kwenye familia kwa fikra kwamba utaachwa atafurahia mwingine mali basi ni heri kuvunja hiyo ndoa.
Kwenye ndoa mke ndio mwenye nyumba bana, ukionyesha njia nzuri na ukiwa mshauri mzuri na mchangiahi mzuri ni rahisi mume kuvutika na mkafanya makubwa tena kwa malengo,
na sikuhizi wanaume wamejanjaruka, kila mradi wa maendeleo mnaonzisha pamoja anaweka kwenye maandishi kwamba hata asipikuwepo mali ni za watoto na zitakuwa chini ya usimanizi wa mke mpaka watoto watakapojitambua, like wise mke asipokuwepo mali zotakua chini ya usimamizi wa mume mpaka watoto watakapojitambua
Kusaidia ndugu kama uwezo unaruhusu sio jambo baya pia, wote ni wanafamilia
SureSijasoma comment yote lakini hapo mwanzo tu umeonyesha kunipinga
Naomba nikwambie maisha hayana formula na hakuna lililo sahihi na lisilo sahihi ni maamuzi tu ya mtu binafsi...so kwa definition yangu naomba nisimame nilipo na wewe upande wako we are both right
Kunywa soda moja kwa Mangi nakuja kulipa!! Point!!Hiyo sio ndoa, ndoa ambayo unaogopa hata kuchangia maendeleao ya familia yako maana yake humuamini mume wako, kama mmefikia hatua ya wewe kuogopa kuchangia jambo lolote kwenye familia kwa fikra kwamba utaachwa atafurahia mwingine mali basi ni heri kuvunja hiyo ndoa.
Kwenye ndoa mke ndio mwenye nyumba bana, ukionyesha njia nzuri na ukiwa mshauri mzuri na mchangiahi mzuri ni rahisi mume kuvutika na mkafanya makubwa tena kwa malengo,
na sikuhizi wanaume wamejanjaruka, kila mradi wa maendeleo mnaonzisha pamoja anaweka kwenye maandishi kwamba hata asipikuwepo mali ni za watoto na zitakuwa chini ya usimanizi wa mke mpaka watoto watakapojitambua, like wise mke asipokuwepo mali zotakua chini ya usimamizi wa mume mpaka watoto watakapojitambua
Kusaidia ndugu kama uwezo unaruhusu sio jambo baya pia, wote ni wanafamilia
😂Kule kwenye fact wewe ndo umepotea, tumebaki mimi na Kim Dawizzy wengine sijui mmekimbilia wapi
Keep on praising mbususu as usual, you will get want you never had