Una mapenzi ya kweli ila kukosa pesa ndio kunafanya uonekane msumbufu 😔

Una mapenzi ya kweli ila kukosa pesa ndio kunafanya uonekane msumbufu 😔

Kungekua na sheria yw kudhibiti watu kwenye mahusiano ya watu labda ingekua afadhali kidogo😃😬

Maana sometimes unaweza kuta wahusika wanaelewana vizuri tu na kupendana lakini maneno ya watu ndio yanawatoa kwenye Reli
Tatizo ni kwamba huyo mke/mume haujamkuta kwenye migomba,kwahiyo hilo unaloliomba haliwezekani😂😂😂
 
Kosa vyote lakini usiende kwa mganga kwaajili ya mapenzi ywnu yawe ya sawa
 
Mapenzi sio Pesa, ila ikikosekana yanapungua. LOL

vijanaa tafutenii Helaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mke nimuite "Demu" ?

Ngoja kwanza nimtwangie simu nijikumbushie kwa kumpatia mtongozo maana hufurahi sana nikiwa nafanya hiki kitendo mara chache
Ohh. Hongera kwa kuoa, ila Ina onyesha we ni kunguru ukiwa kwa nyumba.

Muda wote ni kwenda nje, coz nyumba Ina waka moto
 
Ohh. Hongera kwa kuoa, ila Ina onyesha we ni kunguru ukiwa kwa nyumba.

Muda wote ni kwenda nje, coz nyumba Ina waka moto
Vijana wa "kataa ndoa "hamkosi sababu kila ndoa ionekane vile mnataka. . .

Mimi na bibi yako hatuna maneno japo changamoto zipo



Oa kijana.
 
Ndio maana mimi huwa nawaambia vijana, tafuta hela na pale utakapozipata don't settle for less, dunia haitutendei haki wanaume, tunatafuta hela kwa tabu halafu tikizipata walimwengu wanataka tuoe wanawake wa batch ile ile ambao walitufungia vioo wakati tunajitafuta.

Umepambana kwa jasho na damu jitihada zako zimekubali huo ni wakati ambao unatakiwa kufurahia maisha peke yako kama ambavyo ulikua peke ako wakati unatafuta.

Fanya uwekezaji, talii maeneo unayapenda, kula bata, tembeza mboo mjini, sio umepambana umejipata halafu unafikiria ujinga wa kuingia kwenye utumwa wa ndoa na malaya mstaafu aliekufungia vioo wakati wewe hauna hela na yeye yupo kwenye prime yako.

Retired hoes, undercover prostitutes, single mothers, ferminists and all other demaged and evil bitches are just for pipe and swipe. After you have enjoyed yourself enough now you want to settle with one lady then go for an innocent and fresh woman.
 
Vijana wa "kataa ndoa "hamkosi sababu kila ndoa ionekane vile mnataka. . .

Mimi na bibi yako hatuna maneno japo changamoto zipo



Oa kijana.
Miye kataa ndoa tena??, halafu hata umri usi kute hata nyumba yangu Ina kuzidi kwa kuishi muda mrefu.
 
Back
Top Bottom