snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,433
- 1,176
MziziMkavu , last 4 years baba yangu mzazi alishawahi kuupata huu ugonjwa,bahati nzuri alipona,kwa kufanyiwa operation ya mionzi.two years later mdogo wake akaumwa ugonjwa huu huu,too bad he never survived,,,je unadhani ugonjwa huu unaweza kuambukizwa kwa kurithi?..........kama ushaonaga ile operation ya mionzi inavyofanywa....ni kwanini zile stones zikipasuka,unazisikia zikilia ndani ya mashine na sio kwenye mwili wa huyo mgonjwa?
Last edited by a moderator:


