The Counseller.
Member
- Aug 13, 2015
- 94
- 75
Habari zenu wanajamvi,
Nimeamua kuanzia leo niwapatie mawazo ya Biashara na namna ya kufanya biashara kwa wale wote wenye mitaji lakini hawawezi na hawajui wafanye biashara gani,nitatoa ushauri huu bure ila kwa yeyote atakayefanikiwa kupitia ushauri wangu si mbaya nami akanikumbuka kwa chochote.
Ushauri huu ni bure kabisa,utanikumbuka mara baada ya kufanikiwa haya karibuni wakuu.
Pm unaruhusiwa kuja.
Nimeamua kuanzia leo niwapatie mawazo ya Biashara na namna ya kufanya biashara kwa wale wote wenye mitaji lakini hawawezi na hawajui wafanye biashara gani,nitatoa ushauri huu bure ila kwa yeyote atakayefanikiwa kupitia ushauri wangu si mbaya nami akanikumbuka kwa chochote.
Ushauri huu ni bure kabisa,utanikumbuka mara baada ya kufanikiwa haya karibuni wakuu.
Pm unaruhusiwa kuja.