Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Hii inatokana na umuhimu wa mtu huyo au watu hao kwako..
Mwenzenu toka mwaka 2004 nikiwa bado primary school, enzi hizo tunatumia simu za kukoroga (za Ttcl), kama hii pichani
Mwenzenu hapa ndio niliweza kuiona namba ya simu ya Kaka yangu ambapo baba mdogo alikuwa akimpigia mara kwa mara.
Ile namba niliikariri haraka sana baada ya wiki na mimi chautundu nikaenda kuipiga kwa uangalifu wa hali ya juu nikiwa na hamu ya Kuongea na simu😅😅😅😅
Kweli bwana ile namba iliita, nikasalimiana sana na bro, mpaka wa leo hio namba iko kichwani..
Brother toka mwaka 1999 hajawahi kubadili namba ya simu hadi wa leo.
Vipi wenzangu una namba gani muhimu ambayo hata ukiamshwa saa nane usiku unaitaja bika shida?
Mwenzenu toka mwaka 2004 nikiwa bado primary school, enzi hizo tunatumia simu za kukoroga (za Ttcl), kama hii pichani
Mwenzenu hapa ndio niliweza kuiona namba ya simu ya Kaka yangu ambapo baba mdogo alikuwa akimpigia mara kwa mara.
Ile namba niliikariri haraka sana baada ya wiki na mimi chautundu nikaenda kuipiga kwa uangalifu wa hali ya juu nikiwa na hamu ya Kuongea na simu😅😅😅😅
Kweli bwana ile namba iliita, nikasalimiana sana na bro, mpaka wa leo hio namba iko kichwani..
Brother toka mwaka 1999 hajawahi kubadili namba ya simu hadi wa leo.
Vipi wenzangu una namba gani muhimu ambayo hata ukiamshwa saa nane usiku unaitaja bika shida?