MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama una smartphone wakati una save namba itakupa optional ya email au sim au phone unatumia android na umeweka email?
Nikutumie na yangu Pm mkuu ili ziwe 24 za kutoka JF??
Kwani namba ukiwa nazo nyingi simu inaongezeka uzito? hata kama humuhitaji leo utamuhitaji kesho
Ndio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yangu umefuta
[emoji57]Ndio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji57]
Napiga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hata hupigi simu [emoji1745][emoji1745][emoji1745]
Amna sjaeka mkuuKama una smartphone wakati una save namba itakupa optional ya email au sim au phone unatumia android na umeweka email?
Haya nasubiri.Napiga
Watu wataona unaongea utumbo ila ndio tulipofikia kwa sasa, ndugu zako ni wale uliozaliwa nao tumbo moja full stop
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliposema ndugu wa tumbo moja nilimaanisha dada na kaka sio hao kenge strangers uliowataja, sijawahi kuwajua.dunia hii tofauti na baba yako au mama yako kaa ukijua hakuna msaada mwingine, hao wa kuzaliwa tumbo moja sijui bamdogo ,shangazi, hao ni sehemu ya kusongesha jahazi lako lamaisha,kwamba ukiwa na wenzako useme baba mdogo yupo VODA na shangazi TRA
U CAME ALONE N U SHOULD LEAVE ALONE .....
Hili swala ni purely your personal choice yako!
Wewe kufuta halihusu wengine
Futa,wala hakuna wa kukuuliza chochote
People think namba mlizonazo kwenye simu zenu ni favor mnawapa hao watu,
Yall are naive sons of the bitches!
Keep or delete em nobody cares about you whatsoever!