Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Safi tu kwema huko mkuu,Nimetulia mkuu mambo vipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi tu kwema huko mkuu,Nimetulia mkuu mambo vipi
Poa mkuu wangu mwaka ukawe na baraka kwako😅Safi tu kwema huko mkuu,
Thanks mkuu na kwako pia ingawa haujasema ndoto yako ni ipi mwaka huuPoa mkuu wangu mwaka ukawe na baraka kwako😅
Kumalizia pagale langu na kuongeza duka lingine inshallah 🙏🏽Thanks mkuu na kwako pia ingawa haujasema ndoto yako ni ipi mwaka huu
Duh mkuu naogopa hata kutype Mungu kautimizie maana ukipanua mradi ukafika mkoa wangu nimekwisha pia. Ila ndoto zako zitimizwe kwa mapenzi ya Mwenyezi MunguKupanua zaidi mradi wangu wa majeneza angalau niwe na branches mikoa kadhaa
Na ikawe hivyo mkuu Mungu atafanya na itakua kabla ya mwaka huu kuisha,Kumalizia pagale langu na kuongeza duka lingine inshallah 🙏🏽
SijaelewaJiandae na futa...........utalala mpaka kiama Kiki kute
Amen
Uko mkoa gani mkuu?Duh mkuu naogopa hata kutype Mungu kautimizie maana ukipanua mradi ukafika mkoa wangu nimekwisha pia. Ila ndoto zako zitimizwe kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora usifike kuwekeza mkoa niliopo angalau kwa mwaka huu mkuu.Uko mkoa gani mkuu?
Naweza pia kuja kuwekeza huko kama mazingira ya biashara yangu ni rafiki na mzunguko wa hela upo.
Amina, Mungu mwema na atatimiza haja ya moyo wakoNuomba Mungu azidi kunifungulia njia za mafanikio ili niweze kuzitimiza ndoto zangu.
Haitakiwi mtu yoyote kujua mipango yangu hata mke wangu. Siri sirini
Kuna watu wana midomo mibaya sana. Ukisema jambo halitimii.
Kimya kimya sasa hivi hakuna kutoa code kwa watu.
Bila kusahau miguu ya Chupa ya Bia.Natarajia kuongeza mke wa tatu sharti nimpate humu JF na awe na chura kuuubwaa!
Amina!! MUNGU atakusaidia utaacha. Pole pia!!Niache pombe tu baasi. Mwanamke na pombe mengi yananiendea sivyo niombeeni
Ni kumuomba Mungu akupe watu sahihi katika maisha yako, watu waovu hawakosekani ila pia katika ngazi ya mafanikio huwezi kila siku ukapanda peke yako bila msaada wa wengine.kwamba unamaanisha Mungu akupangie kununua Kiwanja halafu mtu amzuie Mungu kwa maneno yake??
Si ndio unacho maanisha??
Kama ni hivyo Acha imani potofu.
Ishi na msemo wa mtaani "kama ipo, ipo tuu"
Amen Mungu anasikia maombi yetu, ninaamini tutapata conmections za ajira na mwaka huu tutafanikiwa. Iwe ni kutoka nyumbani au kujiendeleza gheto.Namuomba MUNGU anijalie siha njema na uhai pia ajira maana hali sio hali, nami mwaka huu niweze kutoka hapa nyumbani!
Mungu wala shetani haji mubashara bali hupitia watu.kwamba unamaanisha Mungu akupangie kununua Kiwanja halafu mtu amzuie Mungu kwa maneno yake??
Si ndio unacho maanisha??
Kama ni hivyo Acha imani potofu.
Ishi na msemo wa mtaani "kama ipo, ipo tuu"