Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Swali kwenu wabobezi na watafiti wa hili jukwaa.
Huwa una shave shamba la kufugia nywele/kubebea meno (I mean kichwa cha juu) kila baada ya muda gani?
Ni wiki, wiki 2, mwezi au mwaka?
Binafs kwangu kunyoa naonaga karaha sana.
Ukiona nimeenda saluni ujue masikio tayar yashafunikwa na nywele hayaonekani.
NaweA kuvuta hata 2 months.
Tuambie wewe unazifugaga mda gani
Ramadhan Kareem
Uzi tayar
Huwa una shave shamba la kufugia nywele/kubebea meno (I mean kichwa cha juu) kila baada ya muda gani?
Ni wiki, wiki 2, mwezi au mwaka?
Binafs kwangu kunyoa naonaga karaha sana.
Ukiona nimeenda saluni ujue masikio tayar yashafunikwa na nywele hayaonekani.
NaweA kuvuta hata 2 months.
Tuambie wewe unazifugaga mda gani
Ramadhan Kareem
Uzi tayar