Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
After 2weeksSwali kwenu wabobezi na watafiti wa hili jukwaa....
Huwa una shave shamba la kufugia nywelw/kubebea meno (I mean kichwa cha juu) kila baada ya muda gani?
Ni wiki, wiki 2 ,mwezi au mwaka?
Binafs kwangu kunyoa naonaga karaha sana.......
Ukiona nimeenda saluni ujue masikio tayar yashafunikwa na nywele hayaonekani......
NaweA kuvuta hata 2 months....
Tuambie wewe unazifugaga mda gani
Ramadhan Kareem
Uzi tayar
Aisee....automatic updatingKila weekend...! Baldhead.
Mkuu samahan....ambatanisha na picha ya kichwa kama hutojali3yrs
Mkuu...nywele za kichwani haziwez kufunika masikio zikiwa nying?Sijaelewa shamba la kufugia nywele ni sehemu gani ya mwili?
Ulipoandika unaenda salon kama masikio yamefunikwa na nywele hapo nimeelewa ni ndevu
Hapo kubebea meno nimeelewa ni ndevu pia
Good for youKila baada ya week mbili
Nalog off Z
Mkuu ungenifahamisha tu umemanisha nywele za wapiMkuu...nywele za kichwani haziwez kufunika masikio zikiwa nying?
KichwaniMkuu ungenifahamisha tu umemanisha nywele za wapi
HhahaaNikipata hela kaka
It means unamaanisha kuwa Kunyoa ni AnasaSijawahi kunyoa sehemu yoyote kulikoota , binti yangu ana mtoto wa mwaka sasa