Una simu ya mkopo unahitaji tutoe hizo lock utumie kwa uhuru??

Una simu ya mkopo unahitaji tutoe hizo lock utumie kwa uhuru??

Na flash simu zilizo na lock kila aina ya simu kasoro iPhone tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kutafuta matatizo makubwa mkuu.
Kesi zingine hata uweke mwanasheria nguli kiasi gani hutoboi.
Hapo kuna:
1.Kupata mali kwa udanganyifu
2.Uhujumu uchumi
3.Utakatishaji fedha
4.Cyber crime haitakuacha salama
 
Mkuu bolivia,

Wewe ni mpambanaji lakini hapa hukufikiri.
Mimi tu naomba nikushauri ondoa huu uzi sababu mpaka sasa kufikika kwako na kukamatwa ni jambo jepesi sana.
Watu wapo wanafanya biashara ila upo kwa ajili ya kupingana nao.

vijana wapo ila huwa wanafanya kimya, mkuu hili jambo ulifikiri kabla ya kuandika hapa?

Ni ushauri tu.
Ndugu yetu inaonekana mgeni kwenye hizi kazi. Uzuri wale jamaa wanapenda kukukamata na ushahidi kabisa ili mahakamani msisumbuane. Watamtumia mtu tu, atakuja kama mteja, akishafanikiwa kuutoa mkopo wanakuja kumnyakua vizuri kabisa.

Sio kila kitu cha kuanika mtandaoni, punguza mayowe, kuwa na mipaka kwenye kazi yako. Sio kila kazi ya kuifanyia tamaa, itakukuta kazi yenyewe.
 
Simu za mkopo huwa zipo tracked kama ipo hewani au laah, Simu yenye dent 0852365475588, anayo bwana shudei mwiko wa ugali, Mwenye nida no, 19802522522522501111, sasa wakukuta umechezea, maana yake utakuwa haupo hewani, then wanakuja kwenye nida tu, baada ya kupoteza hewani kwa siku 90. Unadakwa kama tumbili. 😁
 
Back
Top Bottom