Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
- Thread starter
- #21
Ndio ndio lakini inategemea na vipaumbele vya mtu alivyojiwekea..ila kitaalamu kulala kwa saa 8 inashauriwa ni suala tu la kujicommit mkuuKulala saa mbili usiku Mkuu ni rahisi kusema lakini kutimiza kazi sana. Kuna entertainment za kumwaga ndani ya tube au uraiani. Hivyo kupanda kitandani saa mbili ni ngumu mno. Ahsante kwa uzi huu muhimu.