Una Uzoefu Gani Na Vinyozi Wanawake?

Una Uzoefu Gani Na Vinyozi Wanawake?

Kasiano Muyenzi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2018
Posts
13,858
Reaction score
22,729
Kinyozi wa kwanza wa kike kuninyoa nywele za kichwa changu alikuwa ni Naomi mke wangu.

Hakuninyoa vizuri hivyo siku hiyo ikawa ndio mwanzo na mwisho wa kunyolewa na Naomi. Baadaye nilitafuta kinyozi mwingine mwanamke naye hakutofautiana sana na Naomi maana hata yeye hakuninyoa vizuri. Nikatafuta mwingine naye ikawa ni hivyo hivyo tu!!

Nilienda kukata nywele jana katika salon moja huko Sinza (sitaitaja kwa jina) na kinyozi (mwanamke) alinikata nywele na ngozi yangu.

Niliumia sana na nilipandisha hasira Ila alipiga magoti na kusema "excuse me" tukayamaliza.

Binafsi nilichagua vinyozi wanawake ili kupima kama wanaweza hiyo kazi , na sasa nimetambua ya kwamba hiyo kazi hawaiwezi. Siendi tena kwa kinyozi mwanamke.

Mlio na vinyozi wanawake leteni uzoefu hapa.
1674973738916.jpg
 
Kinyozi wa kwanza wa kike kuninyoa nywele za kichwa changu alikuwa ni Naomi mke wangu.

Hakuninyoa vizuri hivyo siku hiyo ikawa ndio mwanzo na mwisho wa kunyolewa na Naomi. Baadaye nilitafuta kinyozi mwingine mwanamke naye hakutofautiana sana na Naomi maana hata yeye hakuninyoa vizuri. Nikatafuta mwingine naye ikawa ni hivyo hivyo tu!!

Nilienda kukata nywele jana katika salon moja huko Sinza (sitaitaja kwa jina) na kinyozi (mwanamke) alinikata nywele na ngozi yangu.

Niliumia sana na nilipandisha hasira Ila alipiga magoti na kusema "excuse me" tukayamaliza.

Binafsi nilichagua vinyozi wanawake ili kupima kama wanaweza hiyo kazi , na sasa nimetambua ya kwamba hiyo kazi hawaiwezi. Siendi tena kwa kinyozi mwanamke.

Mlio na vinyozi wanawake leteni uzoefu hapa. View attachment 2498965
Umenikumbusha Dada mmoja njiapanda ya chuo cha walimu morogoro, kigurunyembe mwaka 2011-2012, bonge la pisi kali, pisi matata alikuwa ananyoa kwa kiwembe bonge la kinyozi, pisi hatari enzi hizo nahangaika na plot zangu za mashamba ya pesa pesa huko njombe, iringa, namtumbo na madaba.

Kinyozi wa mfano .

Wadiz, famously know as Shaz by then
 
Kinyozi wa kwanza wa kike kuninyoa nywele za kichwa changu alikuwa ni Naomi mke wangu.

Hakuninyoa vizuri hivyo siku hiyo ikawa ndio mwanzo na mwisho wa kunyolewa na Naomi. Baadaye nilitafuta kinyozi mwingine mwanamke naye hakutofautiana sana na Naomi maana hata yeye hakuninyoa vizuri. Nikatafuta mwingine naye ikawa ni hivyo hivyo tu!!

Nilienda kukata nywele jana katika salon moja huko Sinza (sitaitaja kwa jina) na kinyozi (mwanamke) alinikata nywele na ngozi yangu.

Niliumia sana na nilipandisha hasira Ila alipiga magoti na kusema "excuse me" tukayamaliza.

Binafsi nilichagua vinyozi wanawake ili kupima kama wanaweza hiyo kazi , na sasa nimetambua ya kwamba hiyo kazi hawaiwezi. Siendi tena kwa kinyozi mwanamke.

Mlio na vinyozi wanawake leteni uzoefu hapa. View attachment 2498965
Who knows labda fumbo hilo la lishe za minyanduo
 
Kunyoa ni art,sio kila mtu anakuwa kinyiozi tu kwasababau ya njaa,mwanamke sijawahi kudhania kuwa anaweza kuwa kinyozi mzuri...
 
Mkuu ebu fafanua kwanza....
Weume maanisha kunyolewa wapi labda...😎 maana ukisema Naomi mke wako alikunyoa vibaya sie wengine tunakuelewa tofauti kabisa..🤣
 
Unafeli chief,
Huwa hatuendi kwenye saluni zenye vinyozi wanawake kunyolewa kichwa Cha juu[emoji4]
 
Kinyozi wa kwanza wa kike kuninyoa nywele za kichwa changu alikuwa ni Naomi mke wangu.

Hakuninyoa vizuri hivyo siku hiyo ikawa ndio mwanzo na mwisho wa kunyolewa na Naomi. Baadaye nilitafuta kinyozi mwingine mwanamke naye hakutofautiana sana na Naomi maana hata yeye hakuninyoa vizuri. Nikatafuta mwingine naye ikawa ni hivyo hivyo tu!!

Nilienda kukata nywele jana katika salon moja huko Sinza (sitaitaja kwa jina) na kinyozi (mwanamke) alinikata nywele na ngozi yangu.

Niliumia sana na nilipandisha hasira Ila alipiga magoti na kusema "excuse me" tukayamaliza.

Binafsi nilichagua vinyozi wanawake ili kupima kama wanaweza hiyo kazi , na sasa nimetambua ya kwamba hiyo kazi hawaiwezi. Siendi tena kwa kinyozi mwanamke.

Mlio na vinyozi wanawake leteni uzoefu hapa. View attachment 2498965
Kama sio kumiliki hela nzuri bosi kipilipili chako kikitaka kukutia aibu sana mtaani (just kidding)
 
Unafeli chief,
Huwa hatuendi kwenye saluni zenye vinyozi wanawake kunyolewa kichwa Cha juu
emoji4.png
Nilikuwa ktk utafiti, hiyo ndio sababu ya kunyolewa na kinyozi mwanamke, nimemaliza utafiti na nimegundua kuwa hiyo kazi hawaiwezi kabisa.
 
Back
Top Bottom