Una wazo au swali la "kijinga"? Liweke hapa

Una wazo au swali la "kijinga"? Liweke hapa

Huwa sipati picha siku dawa ya kutibu ukimwi igunduliwe na iwe inatibu ukimwi kwa ufanisi wa asilimia 100,sijui mahusiano ya watu yatakuwaje.
Haito badilisha chochote, maana hata sasa watumiaji wa ARV's wakitumia dawa vizuri, maambikizi yanapungua kwa zaidi ya 70% na wenye maambukizi wanabaki na virusi lakini hawaugui.
 
Sir God akiturudishia bikra zetu……..nyie wanaume wangese wangese mliotubaka hatuwapi fursa ata ya kutusogelea nyambafu
It's impossible, nisawa na maji yamesha mwagika tayari.
Kubaliana na hali halisi tu mkuu, na hata hivyo bado hakuna kilicho haribika zaidi endelea kuitunza nunu yako kwa wivu mkubwa
 
Back
Top Bottom