Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Hivi inawezekana huko mbeleni milima yote ikaishia baharini kutokana na kusombwa na maji polepole?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uondoke kwenye huu uzi. Tunataka masuala ya kijinga siyo mambo ya maana.Nina wazo serikali iwaondoe maafisa ugani kwenye baadhi ya kata na vijiji maana hawana umuhimu wowote
Hawatembelei wafungaji wala wakulima mfano mzuri ni huku Arusha.
Huwa nawaza sana Endapo Wanawake ndo wangekuwa wanatutongoza sisi wanaume!
haiwezekani tumpindue CDF na DGTISS pamoja na IGPHivi inawezekana huko mbeleni milima yote ikaishia baharini kutokana na kusombwa na maji polepole?
Wanakulana tena kuliko mnavyo dhania, sema wakubwa hua hatuna show off kama vijanaHv watu wakubwa wanakulanaga mda gani mbona unaona tu mke ana mimba? Afu ukiwaangalia kwa muonekano wa nje ni kama hawafanyagi hv hawako interested aiseee kama hawajui doggy style vle
Necha hua haibadiliki, na ikitokea inabadilika lazima itakua automatically converted by nature.Hivi inawezekana huko mbeleni milima yote ikaishia baharini kutokana na kusombwa na maji polepole?
Kabla ya mama kuanza kupika, ninyi hamkuwepo duniani.Sasa wakati mama akiwa mdogo ni nani alikuwa akitupikia chakula🚬
Tayari wameshaanza kutongoza wanaume, jaribu kuongeza umakini utaligundua hili.Huwa nawaza sana Endapo Wanawake ndo wangekuwa wanatutongoza sisi wanaume!
Niwazo jema, lakini nashauri hili wazo liandikie dokezoNina wazo serikali iwaondoe maafisa ugani kwenye baadhi ya kata na vijiji maana hawana umuhimu wowote
Hawatembelei wafungaji wala wakulima mfano mzuri ni huku Arusha.
Haito badilisha chochote, maana hata sasa watumiaji wa ARV's wakitumia dawa vizuri, maambikizi yanapungua kwa zaidi ya 70% na wenye maambukizi wanabaki na virusi lakini hawaugui.Huwa sipati picha siku dawa ya kutibu ukimwi igunduliwe na iwe inatibu ukimwi kwa ufanisi wa asilimia 100,sijui mahusiano ya watu yatakuwaje.
It's impossible, nisawa na maji yamesha mwagika tayari.Sir God akiturudishia bikra zetu……..nyie wanaume wangese wangese mliotubaka hatuwapi fursa ata ya kutusogelea nyambafu
kwahiyo utamu utatolea wapiSir God akiturudishia bikra zetu……..nyie wanaume wangese wangese mliotubaka hatuwapi fursa ata ya kutusogelea nyambafu