Una wazo au swali la "kijinga"? Liweke hapa

Sir God akiturudishia bikra zetu……..nyie wanaume wangese wangese mliotubaka hatuwapi fursa ata ya kutusogelea nyambafu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi ingekua nywele zikiwa ndefu tunabadilisha tu kichwa,hawa vinyozi wangekula wapi?
 
Hivi kwenye kuishi tungekua tuna anzia uzeeni halafu tunakua watoto ni nani angetulea wakati tunazaliwa? coz wazazi wetu wangekua kwenye stage ya utoto wakati sisi tungekua tayari ni wazee.
 
Hivi inawezekana huko mbeleni milima yote ikaishia baharini kutokana na kusombwa na maji polepole?
Imekuwaje mabeberu wa Nato kwa mwavuli wa G20 kumsaliti kibaraka wao na na kusarenda kwa Mrusi/Mr.Moscovischt?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…