Unaambiwa hao wote hapo nyuma ni usalama

Unaambiwa hao wote hapo nyuma ni usalama

Mwanadiplomasia Mahiri

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
491
Reaction score
1,907
IMG_0681.jpeg
 
katika kila kund la watu kumi kuna TISS mmoja.

Intelijensia ya socialist states iko very brutal. Nothing goes unheard, perhaps wanajua daily routine ya kila raia.

Wako kizaman sana.
 
Usalama anayejulikana kama Usalama sio Usalama....; Hiki cheo kimegeuzwa kuwa Wauza Sura...

Anyway kwangu mimi usalama ni mwananchi... mtendee vema na awe mzalendo basi nchi itakuwa na ulinzi wa kutosha
 
Back
Top Bottom