Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmoja hapo nyuma mwenye nguo ya ugolo na miwani anafanana na Mamaangu mpendwa sana mama Janeth Magufuli
Na aliyekaa msatri wa mbele ni Raisi wa Nchi kwahiyo kama mpangilio ni wakumweka ulinzi hapo ni sawa tu kikubwa wasiharibu protocol ya mahala husika.
Usalama gani???magumashi tuu!!
😃😀Usalama gani???magumashi tuu!!
Usalama wanashindwa kuiokoa nchi kwenye mikataba mibovu!!
Hata kama hatuwatukuzi, ila hii haishangazi..... ni kama zile za wauza madafu.Mnawatukuza sana hawa watu kama miungu