Unaambiwa

Unaambiwa

papag

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
1,156
Reaction score
1,667
Mapenzi ya siku hizi ni kama Bluetooth.
Mkiwa karibu mna pair.
Mkiwa mbali .
Mna search for available device.
Habari ndio hiyo.
Za kuambiwa......
 
Fimbo ya mbali....

Mimi na baby wangu tuna namna yetu, yes tuko mbali mbali ila kinachotuweka karibu mara zote ni nyoyo zetu na nafsi....our souls match and connect even when we are not communicating to each other.

Love you so much Dadii, you are my man to and from the moon.

Yaani sisikii, nikiwa nae sioniii, juu yake sihofuuu... Hata niambiwe lolote baya juu yake, sielewiii. Ameniloki kwenye loki zote mapenzi yake sichomoiiii aahahahahhaaa.

Ngoja nikamuanzishie uzi.

Kasinde Matata.
 
Wengine tunatumia I phone
 
Fimbo ya mbali....

Mimi na baby wangu tuna namna yetu, yes tuko mbali mbali ila kinachotuweka karibu mara zote ni nyoyo zetu na nafsi....our souls match and connect even when we are not communicating to each other.

Love you so much Dadii, you are my man to and from the moon.

Yaani sisikii, nikiwa nae sioniii, juu yake sihofuuu... Hata niambiwe lolote baya juu yake, sielewiii. Ameniloki kwenye loki zote mapenzi yake sichomoiiii aahahahahhaaa.

Ngoja nikamuanzishie uzi.

Kasinde Matata.
Bibi Leo naumbuka huku!!..
Msaada😅
 
Fimbo ya mbali....

Mimi na baby wangu tuna namna yetu, yes tuko mbali mbali ila kinachotuweka karibu mara zote ni nyoyo zetu na nafsi....our souls match and connect even when we are not communicating to each other.

Love you so much Dadii, you are my man to and from the moon.

Yaani sisikii, nikiwa nae sioniii, juu yake sihofuuu... Hata niambiwe lolote baya juu yake, sielewiii. Ameniloki kwenye loki zote mapenzi yake sichomoiiii aahahahahhaaa.

Ngoja nikamuanzishie uzi.

Kasinde Matata.
Wacha weeh
 

Nimeambiwa nicheze huo wimbo alasivyo sipewi...😅
Mi naweza za kina Michael Jackson break dance tu sijui ntafanyaje


Kimbiaaaaaa huyo hakufai khaaaaa

Ndo mambo gani uruke majoka halafu ndo akuruhusu umrukie...

Ingekuwa reggae muffin ningekuja kukufundisha ila Awilo Longomba, ina wenyewe hiyo eehehehheeeee

Poleeee.
 
Kimbiaaaaaa huyo hakufai khaaaaa

Ndo mambo gani uruke majoka halafu ndo akuruhusu umrukie...

Ingekuwa reggae muffin ningekuja kukufundisha ila Awilo Longomba, ina wenyewe hiyo eehehehheeeee

Poleeee.
Bora hata umekazia msimamo..😜😂😅
 
mi mwenyewe mkali wa kuvunja bwashee.
Hufiki hapa wewe bado mtoto sana hapa moon walker,vunjavunja,katakata,robotiroboti, shuffle zote zimelala hapa wewe Cha kufanya kakojoe ulale tu..
 
Hufiki hapa wewe bado mtoto sana hapa moon walker,vunjavunja,katakata,robotiroboti, shuffle zote zimelala hapa wewe Cha kufanya kakojoe ulale tu..
nisiongee sana bwashee ila kwa ufupi tu hizo style zote ulizozitaja ninazicheza balaa, kwa mfano nikiamua kufanya hiyo moon walk style utanipenda...Yaani nateleza vizuri kurudi nyuma huyo michael jackson mwenyewe akasome...Nikisema nicheze stones ndo naua kabisa.
 
Back
Top Bottom