Unaamini katika Karma, kwamba malipo ni hapahapa duniani?

Unaamini katika Karma, kwamba malipo ni hapahapa duniani?

Grena

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
656
Reaction score
1,553
Habari zenu wakuu,

Karma limekuwa neno maarufu Sana likitumika kumaanisha usimfanyie mwenzako ubaya, maana na wewe utalipwa ubaya.

Binafsi sikuwa naamini Sana kuhusu karma, Hadi siku iliponitokea nikaamini Kwamba malipo ni hapahapa dunia. Na kitu nilichojifunza nikimkosea mtu na nikagundua nimekosa nitaomba msamaha kwa niliyemkosea Kama nitashidwa kumface ama kumpigia simu ntatuma hata text ili mradi ujumbe ufike that I feel sorry for what I did.

Niliwahi kumkosea mtu akahuzunika kwa ajili yangu, aliniita kiustarabu na kunieleza sikumtendea vyema Hadi akafikia kulia, nilijiskia vibaya lakini sikujali. Fast forward years later same thing happened to me, Nililia hata kushinda yeye. Nikakumbuka it's karma nikasema lazima nimuombe msamaha, sikuwa na nguvu ya kumpigia simu nlimtumia text, alinipigia we spoke akanambia alinisamehe kitambo, nikaskia moyo wangu umepata amani Sana.

Kisa Cha pili, Kuna Mama alinitapeli pesa yangu ya biashara. I trusted her sababu alikuwa mtu mzima na alikuwa mke wa mchungaji. Nikampa pesa ya mzigo akaniletea Mara tatu ya nne akaanza kunizingua ooh, mzigo haupatikani wakati yeye kila siku analeta wake. Nilimdai Hadi nikachoka, napiga sim hapokei. Baada Kama ya miezi miwili hivi nikaenda kwake nilimpata anaumwa, kakonda anaanza kunambia she has been sick na hajawahi kuumwa hivyo, kazunguka mahospital katumia gharama kushinda hata pesa ninayo mdai. Nikajiambia hiyo ni Karma, nilimwonea huruma nikamsemehe na Deni.

Tuwatendee wenzetu wema. Karma never miss it's address, Malipo ni hapahapa duniani.
 
Alisema msomi mmoja kuwa (natafsiri kwa lugha ya taifa) "huwa mara nyingi haimwachi salama mtenda lazima imrudie kwa kiasi kile kile alichotenda kwa mwenzake au inazidi kuliko yule mtendewa sasa akibahatika isimpate basi atawapa tabu kidogo tu uzao wake Ila asilimia 99 huwa zinampata mhusika nashauri tutende wema kwa kila mtu kwani binadamu hatilii maanani jambo zuri hadi limpate ndo anarudi nyuma kutafakari"
 
Kuna watu tumefanyiwa Mambo ya ajabu Sana na watu tuliowaamini na kuwathamini

Kitu kimoja kikubwa nmejifunza kuhusu maisha

Ni kwamba It goes on

Nasamehe nasamehe , nasamehe kwa faida ya moyo wangu

Kama karma IPO sawa

Usikute na Mimi nalipa Mambo ya mzee wangu

Samehe endelea na maisha sifuatilii anaendeleaje

Atajua mwenyewe kikubwa nahakikisha na mafanikio makubwa

You will always be offended by some people at some point in your life. Don’t take it to heart. Don’t keep it inside you. Holding on to hurt and pain will only harm you in the long run. Choose to forgive. Release the baggage of your past. Let it go and let the Almighty heal you!

Even the most "genuine" people can fool you. In this day & age it’s hard to tell who’s a true friend. So you go through life hoping people are being sincere & genuine. But be prepared to be let down. It’s part of life. People will hurt you. Only the Almighty can heal you!
 
alisema msomi mmoja kuwa (natafsiri kwa lugha ya taifa) "huwa mara nyingi haimwachi salama mtenda lazima imrudie kwa kiasi kile kile alichotenda kwa mwenzake au inazidi kuliko yule mtendewa sasa akibahatika isimpate basi atawapa tabu kidogo tu uzao wake Ila asilimia 99 huwa zinampata mhusika nashauri tutende wema kwa kila mtu kwani binadamu hatilii maanani jambo zuri hadi limpate ndo anarudi nyuma kutafakari"
Kweli kabisa mkuu.
 
Kuna MTU alimnyanyasa kijana wake zaidi ya miaka 19 huu mwaka WA ishirini kipindi cha Corona aliona haitoshi alimkashifu Kwa maneno kuwa hamtambui, afuate maisha yake, baada ya muda mfupi Yule Baba amepata mavidonda ya ajabu. Familia imeamua kumfungia ndani, sijui ndio KARMA?
 
Kuna MTU alimnyanyasa kijana wake zaidi ya miaka 19 huu mwaka WA ishirini kipindi cha Corona aliona haitoshi alimkashifu Kwa maneno kuwa hamtambui,afuate maisha yake , baada ya muda mfupi Yule Baba amepata mavidonda ya ajabu. Familia imeamua kumfungia ndani, sijui ndio KARMA?.
Kwanini alivyoumwa vidonda mkafikiria angle hiyo kua itakua ni kutokana na manyanyaso aliyomfanyia mtoto?

Hiyo inaitwa "Post Hoc, Ergo Propter" ni uzushi ambao una elements za assumptions kwamba tukio la nyuma ndio sababu iliyopelekea tukio la baadae kutokea.

Ni sawa na paka mweusi amekupita miguuni mwako humjui kaingia ndani mwako halafu punde unamsikia mkeo ambaye yuko ndani mwako analia kua kichwa kinamuuma.

Hapo ndio unajikuta unaajenga imani potofu kua paka aliyeingia ndani muda si mrefu kabla ya mkeo kuanza kuumwa ndio chanzo cha mkeo mpaka kichwa kimuume.
 
Kwanini alivyoumwa vidonda mkafikiria angle hiyo kua itakua ni kutokana na manyanyaso aliyomfanyia mtoto?

Hiyo inaitwa "Post Hoc, Ergo Propter" ni uzushi ambao una elements za assumptions kwamba tukio la nyuma ndio sababu iliyopelekea tukio la baadae kutokea

Ni sawa na paka mweusi amekupita miguuni mwako humjui kaingia ndani mwako halafu punde unamsikia mkeo ambaye yuko ndani mwako analia kua kichwa kinamuuma.

Hapo ndio unajikuta unaajenga imani potofu kua paka aliyeingia ndani muda si mrefu kabla ya mkeo kuanza kuumwa ndio chanzo cha mkeo mpaka kichwa kimuume
Ndio maana nimeuliza maana hii kitu ya KARMA huwa siamini kama IPO maana wabaya wengi wanapeta tu.
 
Kwanini alivyoumwa vidonda mkafikiria angle hiyo kua itakua ni kutokana na manyanyaso aliyomfanyia mtoto?

Hiyo inaitwa "Post Hoc, Ergo Propter" ni uzushi ambao una elements za assumptions kwamba tukio la nyuma ndio sababu iliyopelekea tukio la baadae kutokea

Ni sawa na paka mweusi amekupita miguuni mwako humjui kaingia ndani mwako halafu punde unamsikia mkeo ambaye yuko ndani mwako analia kua kichwa kinamuuma.

Hapo ndio unajikuta unaajenga imani potofu kua paka aliyeingia ndani muda si mrefu kabla ya mkeo kuanza kuumwa ndio chanzo cha mkeo mpaka kichwa kimuume
Hamjaachaga kubabaisha tu? Kuna visa mamilioni kwa mamilioni vinatokea kila kukicha; usiseme ni sheer coincidence
 
Ndio maana nimeuliza maana hii kitu ya KARMA huwa siamini kama IPO maana wabaya wengi wanapeta tu.
Hakuna kitu cha KARMA kihalisia nje ya msemo.

Hapo ungeniambia kitu kinacho relate na saikolojia kulingana na namna mtu anavyo perceive jambo kwa negative way ndivyo anavyozidi kujikuta anapata madhara ningekuelewa
 
Back
Top Bottom