Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hi
Mimi kwa upande wangu naamini katika kuanza na kidogo na kukithamini naamini hakuna alie anza na kikubwa na kama yupo wengi walishindwa kukithamini kikubwa
Vijana now days wanataka kuanza na mshahara mkubwa kuliko elimu yao na uwezo wao najiamini katika kazi na kipaumbele changu siku zote kufanya kazi bora ili ilete good impact how about you
But siku ukiondoka pengo lako linaonekana jinadiKuna maeneo mengine hata ujitume vipi utabaki kuwapa credit wakuu wako wa kazi
Ila jiangalie wewe unataka nini katika maisha yako na kwa Wakat ganinaamini kuukimbia umaskini iko nje ya uwezo wetu.... kutajirika ni bahati
wapo wanaokesha wakitafuta na hawapati
Mtu asipotoa sadaka.afanikiwNaamin katika kutoa SADAKA kwa Mungu muumba mbingu na nchi.
Mambo yako lazima yawe supper.!!
Hii inakata sana, ila kupambana tuuKuna maeneo mengine hata ujitume vipi utabaki kuwapa credit wakuu wako wa kazi
Watu wameshikwa akiliHii inakata sana, ila kupambana tuu
mzee niko sana kule kijiji kuliko huku ndio naona tag yako sasa
Kujituma lazima kuwape credit wakuu wako yes, lakini kwako wewe inakuimarisha na kukufanya kua mtu bora zaidi.Kuna maeneo mengine hata ujitume vipi utabaki kuwapa credit wakuu wako wa kazi
Mimi naamini kila mtu anakitu chake ama eneo lake ambalo aanalimudu zaidi ya mwingine.Kuna kazi na biashara ukizifanya..hata iwe miaka 100 maendeleo ni mwendo wa kobe
Tafuta hela totoo acha visingizionaamini kuukimbia umaskini iko nje ya uwezo wetu.... kutajirika ni bahati
wapo wanaokesha wakitafuta na hawapati
Kuukimbia umaskini inawezekana. Na kunatofauti kubwa kati ya kutajirika na kufanikiwa.naamini kuukimbia umaskini iko nje ya uwezo wetu.... kutajirika ni bahati
wapo wanaokesha wakitafuta na hawapati
nabisha.... haiwezekani kwa kila mtu, kuna watu wana circumstances ngumuKuukimbia umaskini inawezekana.