Unabii: Tanzania itaingia kwenye vurugu za mapinduzi kabla haifikisha miaka 100 ya uhuru

Unabii: Tanzania itaingia kwenye vurugu za mapinduzi kabla haifikisha miaka 100 ya uhuru

Hyrax

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2023
Posts
964
Reaction score
2,675
Ukiachana na suala la katiba mpya ambalo ni bomu linalohesabu dakika zake taratibu kabla halijalipuka kuna mambo mengi yatakayojitokeza na kusababisha kuwaibua wananchi wenye hasira kali (hiki kizazi cha sasa 2000's) watakaogawanyika kwenye vikundi vingi vidogo vidogo vikiwa na lengo kuu moja tu la kuiondoa serikali iliyopo madarakani ya wakati huo sijui itakuwa ipi ni suala la muda na kusubiri.

Lakini pamoja na nguvu kubwa ya serikali itakayotumia wakati huo haitafanikiwa nchi itaingia kwenye machafuko ya kutisha kuanzia uchumi, siasa na jamii kwa ujumla wake na kwa mara ya kwanza serikali iliyopo madarakani itaondoshwa kwa nguvu ya wananchi ikisaidia na kikundi kidogo cha jeshi kitakachokuwa upande wa wananchi wakati huo.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
 
Tulishaona...
Tukasema...
Tukapingwa...

Unabii ni lazima utimie..
 
Ccm itaondoka madarakani ila sio kwa sanduku la kura.
 
Ukiachana na suala la katiba mpya ambalo ni bomu linalohesabu dakika zake taratibu kabla halijalipuka kuna mambo mengi yatakayojitokeza na kusababisha kuwaibua wananchi wenye hasira kali (hiki kizazi cha sasa 2000's) watakaogawanyika kwenye vikundi vingi vidogo vidogo vikiwa na lengo kuu moja tu la kuiondoa serikali iliyopo madarakani ya wakati huo sijui itakuwa ipi ni suala la muda na kusubiri.

Lakini pamoja na nguvu kubwa ya serikali itakayotumia wakati huo haitafanikiwa nchi itaingia kwenye machafuko ya kutisha kuanzia uchumi, siasa na jamii kwa ujumla wake na kwa mara ya kwanza serikali iliyopo madarakani itaondoshwa kwa nguvu ya wananchi ikisaidia na kikundi kidogo cha jeshi kitakachokuwa upande wa wananchi wakati huo.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
Ushindwe kwa Jina Yesu! Tunaiombea nchi yetu amani!! Wanaotutakia mabaya hawatafanikiwa!!
 
Tulishaona...
Tukasema...
Tukapingwa...

Unabii ni lazima utimie..
Hili nami nimeliona this week. Umwagaji wa damu na kukimbia kuwa wakimbizi Burundi na Rwanda kupo na kuna kuja. Nalijuona this week tukikimbilia nchi za Jirani kama wakimbizi tokana na machafuko nchini kwetu. Kikubwa, tumuombe Mungu atuepushe na hili sister japo viongozi wetu wameingiwa na mioyo ya tamaa na ulevi wa kupindukia. Mungu atusaidie kwa kweli.
 
I second you ,tena nilikuwa na mpango ya kushusha uzi unaonyesha Tanzania itakuja kukumbwa na ishu ya udini haswa wagalatia wanapandikizana chuki..
 
Ramli zimeshaanza.
hiyo siyo ramli ukifatilia ukuaji wa vijana wa sasa utagundua hicho kitu mapema sana, sema kwa kuwa viongozi wengi hawatoki tabaka la chini na la kati pia wanaopata uongozi wanafukuzana na maokoto,
ila ukuwaji wa vijana ni mbovu na hajira hakuna zaid ya kuendesha bodaboda kuna kipindi hata muendesha boda ataona maisha magumu wanazidi kuwa wengi!
 
Ushindwe kwa Jina Yesu! Tunaiombea nchi yetu amani!! Wanaotutakia mabaya hawatafanikiwa!!
yeyote aliyeshiba anatamani amani ni vizuri viongozi kuanza kufikiri upatikanaji wa ajira na hata hivyo viwanda vilivyopo kufatilia wafanyakazi wanavyolipwa!
bila serikali kuanza kuangalia tabaka la chini kuna kizazi cha ajabu sana kitakuja kuibuka!
 
Back
Top Bottom