Unabii umetimia?

Kumkwepa mnyama 666 ni miujiza!
NWO imejiandaa!imekuwa ikijiandaa toka kipindi watu hawana ufahamu wwte kuhusu wao!ni akili kubwa hawa jamaa akili ndogo kamwe haiwawezi hilo lazima ukubali,jamaa kila sehemu wapo wameshatuzunguka kila upande.
Vitabu vya dini vilishawataja kimafumbo ila wengi wetu tulishindwa kuelewa.
Mfano mkubwa uislam unamueleza mnyama 666 kama ni dubwana kubwa lenye jicho moja litakalokuja kipindi cha njaa kali huku likiwa na chakula kingi au litaweza kupanda mbegu na ikaota papohapo!
wengi tulielewa hivyo kulingana na imani yetu inavyoelewa ila kwa sasa ukichanganua mfano ishu ya kupanda mazao na kuota hapohapo ina maana ni sinema tunazoangalia inaonyesha mwanamke ana mimba kisha kuzaa na mtoto kukua ndani ya dakika90 tunazotazama sinema!
huo ni mfano mmojawapo ipo mingi sana
 
Wanasayansi wamesema kutokana na ongezeko la watu duniani tunakokwenda hatutaweza kukidhi mahitaji ya chakula kwa kila mtu, wamekwishaanza jaribio la kuotesha nyama kwenye laboratory, cells za mnyama zinachukuliwa na zinazalishwa kuwa nyama inayofaa kwa matumizi ya binadamu.
 
DUH,HATARI SANA HII,NI KUMUOMBA MUNGU NA KUMKIRI YEYE TU HAKUNA NAMNA
 
hii ni obsession isiyo na mantik... yani kila kitu itatafutwa sita inatokeaje..bibilia yenyewe ilishasema 666 ni jina la mtu....

sasa leo watu wanataka kuaminisha umma kua hadi google, chrome, adobe ni 666 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

nadhani magufuli anachanganya sana watu.. na bado.. ndo kwanza ana miezi 8 serikalini.
 
bonna kwenye hili hauko sahihi kabisa sina maneno ya kutosha kusema hili lakini naamini hukuwaza vyema
 
Sio obsession hata kama kusoma hujui picha nazo umeshindwa kuzielewa na kuzitambua?!
Hapo unaona nini kama sio 6!
Open your mind buddy
 
Haya mambo magumu sana, cha msingi mche Mungu, tengeneza maisha yako mwisho wa siku uwe kwenye upande salama.
Kumcha Mungu ndio kufanyaje??? Je ni Mungu gani anayekufanya uyaone hayo mambo Magumu???

#Jeremiah 33:3
 
Kumcha Mungu ndio kufanyaje??? Je ni Mungu gani anayekufanya uyaone hayo mambo Magumu???

#Jeremiah 33:3

“Kumcha BWANAni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharauhekima na adabu” (Mithali 1:7).
Ndugu umewahi kuuliza neno kumcha Mungu kwenye huu mstari pia au kwa vile nimesema Mimi? Unaweza kunipa maana moja halisi na ya uhakika kwamba 666 itakua ni kitu gani na kitafanyaje kazi? Shukrani
 
kwann huyo mnyama anatumia no.6..?
 
Usiogope njia ni ku mkili na kumpokea Kristo kisha ishi ktk utakatifu 1yoh4:4
 
Hivi mkekuu, hizi biashara za networking marketing nazo zimekaaje? Ile mnanunua bidhaa na kuzitumia ila hamna kuona kiwanja chake wala wasambazaji wala matawi ya hiyo kampuni. Kila anyejiingiza ndo anakuwa chain supplier......

Halafu Ukifika level flani ya kuwaingiza wanachama wapya unapelekwa nje ya nchi trip kuonana na muanzilishi wa hizo bidhaa na kupata hela mingi mingi......

Mfano wa hizo biashara ni forever living, gold, Trevor, tiens, bf suma, edmark etc. .....

Wazizungumziaje hizi na watu kujiunga na huu unabii wa mpinga Kristo? ...... just thinking aloud.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…