adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,033
- 15,638
Kumkwepa mnyama 666 ni miujiza!
NWO imejiandaa!imekuwa ikijiandaa toka kipindi watu hawana ufahamu wwte kuhusu wao!ni akili kubwa hawa jamaa akili ndogo kamwe haiwawezi hilo lazima ukubali,jamaa kila sehemu wapo wameshatuzunguka kila upande.
Vitabu vya dini vilishawataja kimafumbo ila wengi wetu tulishindwa kuelewa.
Mfano mkubwa uislam unamueleza mnyama 666 kama ni dubwana kubwa lenye jicho moja litakalokuja kipindi cha njaa kali huku likiwa na chakula kingi au litaweza kupanda mbegu na ikaota papohapo!
wengi tulielewa hivyo kulingana na imani yetu inavyoelewa ila kwa sasa ukichanganua mfano ishu ya kupanda mazao na kuota hapohapo ina maana ni sinema tunazoangalia inaonyesha mwanamke ana mimba kisha kuzaa na mtoto kukua ndani ya dakika90 tunazotazama sinema!
huo ni mfano mmojawapo ipo mingi sana
NWO imejiandaa!imekuwa ikijiandaa toka kipindi watu hawana ufahamu wwte kuhusu wao!ni akili kubwa hawa jamaa akili ndogo kamwe haiwawezi hilo lazima ukubali,jamaa kila sehemu wapo wameshatuzunguka kila upande.
Vitabu vya dini vilishawataja kimafumbo ila wengi wetu tulishindwa kuelewa.
Mfano mkubwa uislam unamueleza mnyama 666 kama ni dubwana kubwa lenye jicho moja litakalokuja kipindi cha njaa kali huku likiwa na chakula kingi au litaweza kupanda mbegu na ikaota papohapo!
wengi tulielewa hivyo kulingana na imani yetu inavyoelewa ila kwa sasa ukichanganua mfano ishu ya kupanda mazao na kuota hapohapo ina maana ni sinema tunazoangalia inaonyesha mwanamke ana mimba kisha kuzaa na mtoto kukua ndani ya dakika90 tunazotazama sinema!
huo ni mfano mmojawapo ipo mingi sana