Unabii umetimia?

Mule mule Kasie nipe muda nitakuja na uchambuzi na ufafanuzi wake
 
Mkuu Mshana jr , hiyo ya bar code naomba nieleweshe unaisomaje? Nimeangalia code zote mbili hapo juu , ile kwanza kabisa na ile nyingine yenye rangi blue nyeusi na nyekundu . hizo 6 mnazisomaje?
 
Mkuu Mshana jr , hiyo ya bar code naomba nieleweshe unaisomaje? Nimeangalia code zote mbili hapo juu , ile kwanza kabisa na ile nyingine yenye rangi blue nyeusi na nyekundu . hizo 6 mnazisomaje?
Barcode hata iweje haikosi mistari sita mwanzo kati kati na mwishoni ambayo aidha ni mirefu kuliko mingine au imekolea rangi
 
Hivi mbona mi cwaelewi humu? Naona mleta mada kauliza swali na ma sita sita kibao, kwani kulikoni, mbona mleta mada ameleta mada utadhani wajumbe wote humu wanaijua hyo mada!? Ilipasa utie na maneno kidogo ili tusiojua tuelewe japo kwa uchache hayo yaliyoulizwa kama yametimia wakuu!
 
Wewe ni mkristo?
 
Kinachonipa amani kila siku ni kwamba utambulisho wa Mungu wangu (Bwana wa vita) ni ushindi siku zote mana na sisi kwa kuwa tumezaliwa na yeye tutashinda yote hakun haja ya kuwa na hofu ndugu zangu tumwamini Mungu tusome Maandiko yake tuijue kweli, tuone amani mioyoni mwetu siku zetu zote za maisha yetu. Msiogope Neema ya Mungu bado ipo na itaemdelea kuwepo kwa wale wampendao.
 
Mule mule Kasie nipe muda nitakuja na uchambuzi na ufafanuzi wake

Naomba ukifanya huo ufafanuzi unitag tafadhali maana mention naona sikuhizi haitoi notification.
Thanks.

Maana ya haya yote ni kuwa tayari wakati wote.
 
Hili nahitaji kujifunza zaidi pamoja na "cloning".

Kaka
 
Naomba ukifanya huo ufafanuzi unitag tafadhali maana mention naona sikuhizi haitoi notification.
Thanks.

Maana ya haya yote ni kuwa tayari wakati wote.
Soory Kasie ndio naiona reply leo hii just imagine![emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…