Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Self proclaimedKuna utitiri wa manabii na maaskofu wapya kila kukicha, wapata vipi hiyo hadhi? Na uzuri wana waumini wengi wanaoamini kisawasawa hasa mama zetu.
Loop holes .. Wanadamu wanaongozwa na kanuni na sheria kwenye kila jambo, ukiwapa upenyo tu wanajitungia za kwaoUnakuta muuni hana hata diploma ya theology anajiita Askofu nadhani kuwekwe sheria kali juu ya hili
Umakini na mikakati thabiti lazma iwepoLoop holes .. Wanadamu wanaongozwa na kanuni na sheria kwenye kila jambo, ukiwapa upenyo tu wanajitungia za kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Zawadi ya Upako inatoka akilini mwako. Si mawinguni kama unavyofikiriaKuna utitiri wa manabii na maaskofu wapya kila kukicha, wapata vipi hiyo hadhi? Na uzuri wana waumini wengi wanaoamini kisawasawa hasa mama zetu.