Huo siyo utabiri Wala unabii,haya ni matamanio. Nyerere hapa alikuwa anatamani kuona vijana wanakuwa hivyo,na hakuwa na uhakika sana kama ingewezekana. Ingekuwa unabii angesema kitakuja kizazi Cha vijana jeuri.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.