Unabii wa Mwl Nyerere watimia

Unabii wa Mwl Nyerere watimia

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
1669140864396.png


Mwl Nyerere aliweza kutabiri kwa usahihi kabisa wangetokea Wanasiasa wajinga,wapuuzi ambao kazi kubwa ngekuwa kusifu tu.

Dr Kigwangallah,Msukuma,Kibajaji .....
 
Huo siyo utabiri Wala unabii,haya ni matamanio. Nyerere hapa alikuwa anatamani kuona vijana wanakuwa hivyo,na hakuwa na uhakika sana kama ingewezekana. Ingekuwa unabii angesema kitakuja kizazi Cha vijana jeuri.....
 
Back
Top Bottom