Unachopaswa kujua kuhusu Ushoga

Unachopaswa kujua kuhusu Ushoga

Ila ipo historia inayosema kwamba tatizo hili lilianza maeneo ya uarabuni na si ulaya,kwa kuwa nxhi hizo zina mila ambayo ili uolewe lazma uwe bikra kwa hyo wanawake walijilinda sana bikra zao,ila kwa kuzidiwa ndio wakajikuta wanafanya nyuma ya maumbile kulinda ubikra,ndipo hali hii ikaenea badae had mataifa ya ulaya,utafiti wa madaktari huu,wa saikolojia.
Una rejea yoyote mkuu?

Kaka ...
 
Ipo poa sana, sasa wewe unae quote text ndefu hv afu una comments vimistari viwili tu lengo lako ni kutusumbua ku scrow down au?
 
Baada ya kuona kundi la mashoga toka pande mbali mbali za nchi tena wengi toka mikoa ambayo huwezi hata kuidhania pale kunduchi hotel wakiwa kwenye semina Disemba mwaka jana ndipo nilipo amini kuwa hili tatizo ni kubwa kuliko tunavyolifikiria
 
KUHUSU USHOGA
----------------------------
Historia: Kwa ufupi tu, mapenzi yaJinsia moja hasa jinsia ya kiume yamekuwa yakipigwa vita miaka nenda miaka rudi katika maeneo mbalimbali duniani. Tamaduni, sheria na dini zimekuwa zikipingana na ushoga kwa sababu sio jambo la asili. Mnamo karne ya 12, kanisa katoliki lilipiga marufuku waumini wake kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja (ushoga). Kabla ya hapo, ushoga haukuwa kitu cha kujadili, ulipuuzwa. Lakini marufuku za kidini na kisheria zilianza kuwekwa pale ushoga ulipoanza kuota mizizi katika jamii.
Wataalamu wa tiba mbalimbali, madaktari na wanasaikolojia wamekuwa wakishindana kufanya tafiti juu ya ushoga; sababu, chanzo na tiba. Baadhi ya wataalamu wameona kuwa ushoga sio jambo la asili, huku wengine kama Dr. Sigmund Freud wakiona kuwa ushoga ni jambo la asili na hakuna sababu ya kutafuta tiba wala kuwatungia sheria za kuwakataza watu kushiriki mapenzi ya jinsia moja. Hata hivyo kwa kipindi kirefu ushoga uliwekwa kwenye kundi la maradhi ya akili (psychological disorders).

Ilipofika mwaka 1973, taasisi ya magonjwa ya akili ya Marekani (American Psychiatrist Association) iliondoa ushoga kwenye kundi la maradhi ya akili, hii ilifuatiwa pia na ushirika wa saikolojia wa hukohuko marekani (American Psychology Association) ulipouondoa ushoga kwenye kundi la matatizo ya kisaikolojia mwaka 1975. Kwa hiyo katika marekani, ushoga ukatolewa kwenye maradhi ya akili, na vilevile kwenye matatizo ya kisaikolojia. Uamuzi huu haukufanywa kwa sababu za kitafiti kama taaluma za kitabibu zinavyoelekeza bali kwa ushawishi wa kilaghai (lobying) na mashinikizo kutoka makundi ya mashoga huko marekani.

Mnamo mwaka 1990, shirika la afya duniani, WHO nalo likafuata mkondo wa kuondoa ushoga kwenye kundi la maradhi ya akili.

Saikolojia
Hakuna hitimisho rasmi la kutosha kueleza kama mapenzi ya jinsia moja ni matokeo ya maradhi ya akili au ni jambo la asili. Ingawa tafiti fulani zinaonesha kuwa watu wengi wanaojihusisha na tabia hii wame'ipata' baada ya kuzaliwa (acquired) na sio ya kuzaliwa nayo.

Elimu ya viumbe hai (biologia) haitoi ushahidi wa binadamu kuwa sahihi katika mapenzi ya jinsia moja. Vilevile, elimu ya maumbile ya binadamu (Human Anatomy) haitoi ushirikiano katika muingiliano wa kimapenzi baina ya wanadamu wa jinsia moja. Lakini jambo la hakika ni kwamba watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja wapo na wanafurahia tendo hilo. Hapo ndipo penye kufikiri.

Mwanasaikolojia Dr. Sigmund Freud anajaribu kuelezea namna mabadiliko ya akili-ngono (psychosexual) yanavyotokea kwa binadamu. Katika kile kinachoitwa 'Oedipus Complex, Freud anasema,
Akili-ngono (psychosexual) ya mtoto hukua kwa kupitia hatua tano, hatua hizo ni 1. Oral (mdomo) 2. Anal (mkundu) 3.Phallic (Uume) 4. The latent satage (hatua ya mpito) 5. Genetalia (sehemu zote za siri). Ni katika hatua ya tatu (phallic stage) ambapo mtoto huanza kujitambua kimaumbile na kujitofautisha na watu wa jinsia tofauti. Hatua hii hutokea kati ya umri wa miaka 3-6.
Katika hatua hii, binadamu huyu mtoto huanza kuwaona watu wa jinsia tofauti Kama watu tofauti na yeye. Vivo hivyo huweza kutamani kingono watu wa jinsia tofauti, wa umri wote. Kwa hivyo kwa watoto wa kiume huweza kuwatamani mama zao ambao huambatana nao kwa karibu kuliko mtu yeyote, na mtoto wa kike kutamani baba zao. Karibu mara zote, hatua hii hupita, na mara chache huweza kuendelea hadi wakati wa kubalehe. Lakini pia, katika hatua hii ya Tatu ya ukuaji wa akili ngono, mtoto huweza kujitamani mwenyewe. Na hapo ndio kunaweza kuambatana na kutamani watu wa jinsia yake. Bado elimu zaidi inahitajika kujifunza zaidi mambo haya yenye utata.

Dunia na ushoga.
Katika kitabu chake cha Conspirators Hierarchy, mwana intelijensia Dr. John Coleman anaeleza kwa kifupi tu namna serikali za marekani na uingereza zinavyofanyakazi kwa mashinikizo ya makundi ya siri, yakiwemo makundi ya mashoga. (Homosexuals). Makundi hayo ya (homosexuals) wamejiingiza katika makundi maengine ya siri kama vile, Order of st John of Jerusalem, Bachofen, Royal Institute for International Affairs (RIILA), Illuminati, Bilderbelgers, Trialterals, Freemasonry, Round Table, Cini foundation, Club of Rome, The Fabianist (waanglikana), Council of Foreign Relations (CFR), Zionist, Hellfire clubs, The Venetian Black Nobility, The Mont Pelerin Society, Bolshevism-Rosicrucianism, Rothchildren of Europe. Nk.

Yapo makundi mengi yenye nguvu ya fedha na intelijensia. Nimependa kunakili orodha hiyo ili ifahamike kuwa sio kitu rahisi tunapozugumzia ushawishi wa makundi haya katika serikali kubwa za dunia. Tunaweza pia kuwaongeza Jesuits Fathers (wakatoliki) ambao hawakutajwa na Dr. Coleman. Ni makundi ambayo serikali za dunia ya tatu hazifui dafu kupambana nayo. Mara nyingi sisi watu wadogo tunanufaika na/au kuathirika pale makundi haya yanapokinzana au yanapoafikiana katika kazi zao, ndio pale unapoona sasa kanisa la Anglican linakubali ushoga, na katika kuliingilia kanisa katoliki tunaona papa Benedict anajiuzulu na anaingia papa Francis na kuweka rekodi ya kuwa 'Mjesuits' wa kwanza kushika wadhifa wa upapa. Ni mapambano tu.

Sasa; ushoga ulianza kwanza kukubalika (acceptable), maana yake katika mataifa hayo ushoga ulikubalika na kuwa sehemu ya maisha ya kawaida. Pili ukatungiwa sheria (legal), maana yake hutakiwi kuwapinga, la! Utahukumiwa. Lakini si hivyo tu, sasa hivi unatangazwa na kuhamasishwa kupitia vyombo mbali mbali vya magharibi. Mbinu kadhaa zinatumika kuhamasisha ushoga, Moja! Kupitia filamu na muziki, mbili kupitia vitabu vya nchi za magharibi na kuzuia vitabu vya nchi za Asia ya Kati (Arabia, Armaic) au 'semitic books'. Tatu kupitia dini (anglican church) kwa udhanio wa uratibu wa "The Fabianists". Nne kupitia wataalamu wa tiba (madaktari na wanasaikolojia), tano kutumia intelijensia ya habari, sita kutumia tasisi za misaada (sir Elton John ni moja Kati ya wafadhili wakubwa wa tafiti za afya Tanzania) na kadhalika kadhalika.
Swali bado linabaki kuwa, kwanini haikutosha kuruhusu ushoga badala yake unatangazwa na kuhamasishwa! Tuendelee kujifunza

Bado kuna mengi ya kuandika , jinsi serikali za nchi nyingine zinavyopambana na ushoga wa magharibi, kwa mfano Urusi na Uchina zinavyodhibiti filamu, miziki, video na mitandao ya kijamii ya magharabi, mathalani tamthilia maarufu ya 'Game of thrones, lazima ichujwe name kundoa 'scenes' zote zinazohusu ushoga kabla ya kurushwa kwenye televisheni za China. Tamthilia hiyo pia imepigwa marufuku kuoneshwa katika kambi za jeshi la uturuki (TSK). Orodha ya filamu na tamthilia zinazohamasisha ushoga ni nyingi. Intelijensia za magharibi zimetamalaki katika kutumia teknohama kueneza itikadi zao, na 'mambo yao' .Wakati mwengine huenezwa propaganda kuwa watu wa zamani wenye ushawishi walikuwa mashoga, mfano mwanasayansi Sir Isaac Newton, na Leonardo da Vinci. Lengo ni kutaka kuhalalaisha ushoga kwenye akili za watu.
Hatuwezi kumaliza kuandika.

Nitoe rai tu kwa watanzania, huku tukiendelea kujiuliza swali lilelile; kwa nini haikutosha kuruhusu ushoga na badala yake unatangazwa in kuhamasishwa?
Majibu ya swali hili yanaweza Kuwa magumu kuliko swali lenyewe, na bahati mbaya tayari tumeshaingiliwa. Katika mikoa ya kanda za juu kusini, Njombe, iringa nk, kumekuwa na ugawaji wa vilainishi kwa wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja, zoezi linaloambatana na upimaji wa VVU. Lakini kwa bahati mbaya zoezi hilo linafanywa kwa namna ya kuhamasisha ushoga.
Kuna habari ya mtoto wa kiume aliyeingiliwa kinyume na watu wazima huko Njombe. Kisha akapewa vilainishi (lubricants) au jelly, na yeye akawakusanya wenzake wa kiume ambao ni wanafunzi wa shule ya msingi kisha wakafanyiana na kugawana vilainishi!

Lengo la vilainishi laweza kuwa kurahisisha huo mchezo na kupunguza uwezekano wa kuambukizana maradhi, lakini zaidi, vilainishi vinaacha hamu ya kurudiarudia tendo hili ambalo kwa imani za wengi ni kharamu. Kwa nini kuhamasisha ushoga?

Wazazi na Walezi chukueni tahadhari, Serikali tuondoleeni hii aibu.....
Umejitahidi kusound kama msomi ila umefeli.
Waraka wako mrefu umeshindwa kutofautisha baina ya ushoga na kitendo cha kulawiti. Dhana nzima ya ushoga ni geni katika jamii zetu kwa kuwa it was something that was never talked about, though it was there. Homosexuality is a wide concept that includes not only the aspect of sex, but also romantic attraction and feelings of affection towards members of the same sex. There is ample evidence both in nature and in history to show that homosexuality is indeed not a mental disorder. Over 1500 animal species have gone on record for practicing homosexuality. What is rather unique to the human race is homophobia.
Sigmund Freud stipulates that human sexuality is not binary as in two sides of a coin (gay or straight), but rather there exists a continuum between the two extremes.
It is shame to think that you still believe homosexuality to be a 'western concept', yet history (including African history) is replete with instances of tribal 'boy wives' and women 'marrying' each other. What is western ni homophobia, which was rampant in Europe and was thus spread to the rest of the world during the colonial era.
 
Pamoja na nia nzuri ya kudhibiti ushoga na ikiwezekana kuutokomeza kabisa ukweli ni kuwa Nchi za dunia ya tatu hazitaweza kamwe (hapa isichukuliwe kuwa naupenda na kuutetea ushoga, la hasha) kuuangamiza. Sababu ni kuwa watu masikini wapo tayari muda wowote kufanya chochote ili kupata fedha ya chakula hivyo wenye pesa zao (Nchi za magharibi) watazitumia kwa namna yoyote ile kufadhili ushoga kwa kuzipitisha kwenye miradi mbali mbali ya kijamii.Pia nchi hizi zenye mashoga hutumia vitisho mbalimbali kuzikabili nchi zinazojitahidi kuangamiza ushoga, Kwa mfano Uganda mwaka jana ilikuwa ipitishe sheria kali sana ya kuwafunga mashoga kwa miaka mingi gerezani lakini Rais Barack Obama akaingilia kati na Rais Museven ikabidi asalimu amri tu na mswada wa sheria hiyo ukatupoliwa mbali.
 
Rejea yangu ni semina iliyoendeshwa na madaktary bingwa wa muhimbili,ila madaktary huwa wanasoma historia za magonjwa mbalimbali ukimuuliza mmoja wapo unaweza pata jibu.
 
Rejea yangu ni semina iliyoendeshwa na madaktary bingwa wa muhimbili,ila madaktary huwa wanasoma historia za magonjwa mbalimbali ukimuuliza mmoja wapo unaweza pata jibu.
Mapambano dhid ya ushoga Afrika ni ngumu ,...kwa kudokeza tu. Mashoga ndio wachangiaji wakuu wa WHO ,UNICEF NA USAID,Unajua role ya mashirika haya kwa sekta ya afya Tanzania..afu mnaleta cheap politics za kina Makonda!
 
Kwa kawaida, kiumbe mwanaadamu ameubwa akiwa amepewa vitu viwili muhimu ambavyo ni akili na nafsi .
Akili huwa inafanya kazi kutokana na nguvu za muungu, ambao inauwezo mkubwa wa kutambua kitu kibaya au kizuri, kwa kuparceive kupitia viungo vya hisia au kupitia ujengaji wa hoja.
Nafsi huwa ipo ktk upande wa leisure au starehe, hupenda utukufu, maisha mazuri, mali, wanawake, watoto nk. Kwa hio muungu baada ya kumuumba binaadamu anatakiwa kufuata akili yake ili kupata mafanikio, na ktk kufuata akili ni lazma uilazomishe nafsi kushindwa pasipo kushindwa utaitumia akili ktk kufanikisha matakwa ya nafsi ndo hapo utakuwa mbunifu wa wizi, dhulma, pombe, nk utaitumia akili ili uridhishe nafsi kwa njia yoyote kama binaadamu akili yake itaongozwa na matamanio ya nafsi yake basi mwanaadamu huyo ataangamia ona mtumiaji madawa ya kulevya, pombe, sigara, wazinifu, wezi, makahaba , baradhuli nk wote hawa wanajisababishia madhara kwenye miili yao na kusababisha madhara kwenye jamii yao.
Kwa kuwa binaadamu ameumbwa kwa malengo maalum, basi Muungu akamuekea utaratibu wa kuilinda akili yake na nafsi yake pamoja na jamii kwa ujumla,
Hivyo kwa kuwa muungu hakosei kuumba i.e mwanaumeameumbwa kuwa mwanaume na mwanamke kuwa mwanamke na akawaekea utaratibu wa kutumia viungo vyao vya uzazi na namna gani kupata mtoto, kutafuta mali na kustarehe.
Lkn imefika wa kati dunia inasimamiwa na watu ambao nafsi zao ndio zinazoongoza akili zao tutegemea madhara makubwa tu ktk jamii zote. Na mwisho wa siku muungu hatutomzuru tutajizuru miili yetu, nafsi zetu na akili zetu.
 
Hapa Mtaani Pana Kashoga Mmoja Yani Noma Sana! Anaitafutaga Namba Yako Ya Simu ikisha Usiku Anakutwangia Na Kuanza Kutiririka Maneno Ya Kukutongoza! Kama Roho Yako Nyepesi Kidogo tu Unajikutia Unamfuata Geto!!
Dah! Basi Ona Adolescents Wanaomature Sasa Wanavoteketea Kwa Kumlawiti Huyu Jamaa!!
 
Mpango wa kupunguza idadi ya watu ulianza tangu early 70s kwa mataifa ya magharibi (soma Africa journal au article ya Msangi blog "UKIMWI NA EBOLA SILAHA ZA MAANGAMIZI AFRIKA).
Hata hivyo harakati za kupunguza idadi ya watu tangu miaka hiyo hazikufanikiwa nadhani uwiano wa mipango na kasi ya ongezeko la watu havikuenda sawa thus wenzetu kwa miaka hii wameamua kubadili gia angani TOWARDS USHOGA.Tendo la ushoga (homosexual) halina kibali mbele za mungu kwa sababu linaenda kinyume na mapenzi ya mungu.
Kwa vile jamii ya mtu mweusi inaamini kuwa kila anachokifanya mweupe hata iwe ujinga ni chema, Kuna wimbi kubwa la raia wa kiafrika kujitumbukiza kwenye ushoga,Aidha T.V na program za movies zinachangia kushawishi.Ukiangalia lizombe ngoma ya Wangoni kwenye TV unaonekana mshamba!!Wenzetu wanadhani wakihamasisha USHOGA watapunguza idadi ya watu.TUACHE TUACHE KUFAGILIA USHOGA.Yupo jamaa yangu aliniambia akigundua ndugu yake ni SHOGA anaweza kumwekea sumu teh teh teh!
 
[QUOTE="Cicero, post: 16741036, member: 349444"... but rather there exists a continuum between the two extremes.
It is shame to think that you still believe homosexuality to be a 'western concept', yet history (including African history) is replete with instances of tribal 'boy wives' and women 'marrying' each other. What is western ni homophobia, which was rampant in Europe and was thus spread to the rest of the world during the colonial era...[/QUOTE]
 
[QUOTE="Cicero, post: 16741036, member: 349444"... but rather there exists a continuum between the two extremes.
It is shame to think that you still believe homosexuality to be a 'western concept', yet history (including African history) is replete with instances of tribal 'boy wives' and women 'marrying' each other. What is western ni homophobia, which was rampant in Europe and was thus spread to the rest of the world during the colonial era...
[/QUOTE]

Je, mila ya "nyumba ntobho" inachangia hili?
 
Uzi umetulia sana...

Ila sidhani kama watu wanaufahamu na tamthilia "pendwa" zinazorushwa kwenye vituo vyetu vya Tv ambazo nyingi zina scene za ushoga zimewekwa kwa makusudi ili kusoftmind zetu ili ionekane hilo ni jambo la kawaida hata ukiliona mtaani kwako usishangae.
Tena unakuta mhusika wa hiyo scene anakuwa mwenye mafanikio, anayependwa yaan kifupi mwenye tabia zote za utu...kiukwel umenifumbua macho mleta mada..hawa jamaa wakitaka kitu..ngumu sana kupambana nao...tuzidi kumuomba Mungu atuepushe mbali
 
Hii kitu ni janga kubwa Sana. Siku moja nimekaa kwenye baa moja naangalia TV pale arusha akaja Jamaa moja tunafahamiana nae na ana maduka kadhaa ya dawa za kilimo na mifugo kiujumla ni tajiri tosha. Na anaheshimika Sana, tukakaa nae akaagiza konyagi na kuendelea kunywa. Alipoanza kulewa nikashangaa akaanza kunipapasa sehemu zangu za uume. Na akaniomba tuhamie sehemu za chobis, nilinyanyuka haraka na kumkimbia. Wakati nataka nikamwona meneja wa ile baa akinicheka huku akiniambia vp bana mbona unaikimbia mboga? Hapo akanipa stori kuwa huyu Jamaa ndo zake akilewa anahonga ndume ili aliwe. Cha kushangaza ana mke na watoto wakubwa tu na mke ni ofisa wa serikali.
Tatizo hii mijitu mingi haijulikani bint anaweza kutembea kwa madaha na jamaa Barabarani kumbe watu wanamdharau, masikini mwenyewe hajui kwamba jamaa yake choko, ndio maana tulionao humu JF wanajitahidi sana kuutetea.
 
Back
Top Bottom