Unachukia or unampenda Diamond 'Platinumz'? Hii inakuhusu

Unachukia or unampenda Diamond 'Platinumz'? Hii inakuhusu

baada ya kumtaja ruge kama meneja,mwili wangu umesinyaa,,,,labda diamond ndo atakua msanii wa kwanza kufanikiwa chini ya ruge,ila ruge tunamjua ana tabia ya kuwatumia wasanii kama kondom
.

Ruge????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
hata wewe tukikuchunguza vizuri tunaweza kukugundua kuwa ni malaya!! Wewe ushabadilisha wanaume au wanawake wangapi ktk maisha yako? Diamond sababu anafahamika na wanamuandika magazetini ndo maana mnamuona malaya but hana chochote cha tofauti na nyie wengine mnaojitia wasafi..... ukiachana na boyfriend/girlfriend mmoja si unakuwa na mwingine baadae and life goes on, na ni kawaida kwa binadamu wote........ ila kwa diamond mnamuona malaya........... acheni hizo wabongo!!!

usidhani kwa tabia ulizo nazo ni kila mtu!!!! na uzi wako uliuweka hapa ili iweje kama we unampenda tayari! asiambiwe ukweli!!! haya bhasi diamond c muhuni hata kidogo,,,,nampenda 100%
 
hiyo hoteli ya nyota 4 naisubiria kweli!
Labda kama constractor watakuwa vichaa wa mirembe sijaona hela aliyonayo ya kufanyia hiyo kaz au siku hiz mitumba inalipa kias hicho!
 
Wewe ni hater to, huna lolote........... unless unambie unaishi uswekeni ambako hakuna hata redio wala TV (na internet cjui unaingiaje JF)........ diamond is everywhere, usipomuona ktk TV utamsikia redioni, usipomsikia redioni utamuona magazetini usipomuna magazetini utamuona ktk mitandao, sasa wewe mwenzetu unaishi wapi??? Acha hizo!!! chuki yako haimzidishii wala kumpunguzia lolote......... ni bora useme humpendi au humfeel ila sio humjui, si kweli ni kauli za ku-hate hizo

Naona wewe ni katibu mwenezi! mwenye thread kauliza kwenye heading: unampenda au unamchukia?? sasa wewe naona unalazimisha watu, kumbuka sio memba wote wa JF wako TZ.
 
ndiye msanii kipenzi cha wana africa masharik kwa sasa,kwa ubunifu,juhud na kujituma,amekua ndiye mwanamuzic ghari zaid tz(ni ten millions kwa show na mapromota deile wanampapatikia,kwa wiki cyo chin ya shows tatu mpaka nne)ndiye mwanamuzic anayepiga show zisizochosha(ana tuzo ya mtumbuizaji bora)on youtube video zake ndiyo zinatizamwa zaid kuliko mwanamuzic yeyote tz(video yake ya mbagala ishatizamwa na viewers zaidi ya laki 8,moyo wangu viewers zaid ya laki 5 .,kama hamjui,tayali amefanya collabo na J martins na mchakato wa video unaendelea kwa kutafuta ma-model(itarecodiwa tz na abroad) then atafanya collabo na p-square
na aliye nyuma ya mafanikio haya(aliye muunganisha na Psquare,Jmartins)ni meneja wake Ruge mutahaba
kwa haya.
na kwa uchache,ndani ya mda mfupi wa kua kwenye gemu tayari anamiriki gari la milion 60,anamiriki nyumba tatu,na tayari yupo kwe mchakato wa kujenga hotel yenye hadhi ya 4stars...sina budi kukupongeza na nina imani baada ya mda mfupi,atakua ni moja ya wanamuzic wakubwa barani africa
na wanaomtabiria atakua kama Mr nice,wanakosea sana
GO DIAMOND..WEWE NDIYE AINA YA WANAMUZIC TUNAOWAHITAJ

Much respect
 
Hivi kwa nini Invisible asifunge mlango wa kujiunga wanachama hapa JF?
Ona sasa madhara ya hivi vipumbavu vinavyokurupuka na kutuletea mada za Facebook hapa.
Then mbaya zaidi ni kuwa kuna watu wanafumuka na matusi na mijineno ya kashfa kwa watu ambao labda hata hawajahusika katika kuleta huu ushuzi hapa...


We ndio owner wa Jf au?
 
Kama ameweza kufanya yote hayo nampa hongera na azidi kujitahidi.Ni mmoja wa wanamuziki wachache toka Tanzania wanaojulikana nje ya mipaka yetu kwa sasa...
 
tunamshukuru mola kwa kutuletea diamond duniani.........kwakweli anatuburudisha sana
 
At least anajishughulisha kuliko wengi wanaokaa vijiweni na kuanza kubom mia...Anakipaji anakitumia anunue gari,mkokoteni,
rocket ni yeye na familia yake.
 
Ni Kijana nasikia ametoka kuuza mitumba umachinga na alipofika anafaa kupongezwa
 
ndiye msanii kipenzi cha wana africa masharik kwa sasa,kwa ubunifu,juhud na kujituma,amekua ndiye mwanamuzic ghari zaid tz(ni ten millions kwa show na mapromota deile wanampapatikia,kwa wiki cyo chin ya shows tatu mpaka nne)ndiye mwanamuzic anayepiga show zisizochosha(ana tuzo ya mtumbuizaji bora)on youtube video zake ndiyo zinatizamwa zaid kuliko mwanamuzic yeyote tz(video yake ya mbagala ishatizamwa na viewers zaidi ya laki 8,moyo wangu viewers zaid ya laki 5 .,kama hamjui,tayali amefanya collabo na J martins na mchakato wa video unaendelea kwa kutafuta ma-model(itarecodiwa tz na abroad) then atafanya collabo na p-square
na aliye nyuma ya mafanikio haya(aliye muunganisha na Psquare,Jmartins)ni meneja wake Ruge mutahaba
kwa haya.
na kwa uchache,ndani ya mda mfupi wa kua kwenye gemu tayari anamiriki gari la milion 60,anamiriki nyumba tatu,na tayari yupo kwe mchakato wa kujenga hotel yenye hadhi ya 4stars...sina budi kukupongeza na nina imani baada ya mda mfupi,atakua ni moja ya wanamuzic wakubwa barani africa
na wanaomtabiria atakua kama Mr nice,wanakosea sana
GO DIAMOND..WEWE NDIYE AINA YA WANAMUZIC TUNAOWAHITAJ

we muongo sana na AY utamuacha wapi ye show za mastaa wa dunia hebu futa kauli yako
 
Talking of AY, namkubali kimataifa, anahit kimataifa na kijamii ana heshima zake, hana skendo. Inabidi wasanii wa bongo kuiga huo mfano.
 
Mimi si shabiki wa diamond hata kidogo.....ila anaweza sana tatizo dogo anakashifa nyingi zinazo ,kabili pamoja sio msanii ninae mkubali lakini si mchukii coz najua wote hatufani.....go gela diamond mungu akujalie......ur free man so go go........tupo pamoja tempo ya east africa.
 
Nackia magic fm na chanel ten wamegoma kupiga nyimbo zake!
Sababu ztawajia msijal wadau bado naperuz!
 
Aaah ulipotaja Ruge tu ndio uliponivurugia mtiririko wa hii habari yako. Ruge??!
 
Kupaka wanja
kuonyesha nguo yake ya ndan
kubadili madem km nguo
kwa haya yote hatajenga hiyo hotel 4 star!
 
Back
Top Bottom