nguluvisonzo
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 515
- 71
.baada ya kumtaja ruge kama meneja,mwili wangu umesinyaa,,,,labda diamond ndo atakua msanii wa kwanza kufanikiwa chini ya ruge,ila ruge tunamjua ana tabia ya kuwatumia wasanii kama kondom
hata wewe tukikuchunguza vizuri tunaweza kukugundua kuwa ni malaya!! Wewe ushabadilisha wanaume au wanawake wangapi ktk maisha yako? Diamond sababu anafahamika na wanamuandika magazetini ndo maana mnamuona malaya but hana chochote cha tofauti na nyie wengine mnaojitia wasafi..... ukiachana na boyfriend/girlfriend mmoja si unakuwa na mwingine baadae and life goes on, na ni kawaida kwa binadamu wote........ ila kwa diamond mnamuona malaya........... acheni hizo wabongo!!!
Pole........ huo ni mtazamo wako ila Diamond anazidi kupaa juu na juu zaidi hata kama kwako ha- My Dogs name is Diamond .what a suprise
Wewe ni hater to, huna lolote........... unless unambie unaishi uswekeni ambako hakuna hata redio wala TV (na internet cjui unaingiaje JF)........ diamond is everywhere, usipomuona ktk TV utamsikia redioni, usipomsikia redioni utamuona magazetini usipomuna magazetini utamuona ktk mitandao, sasa wewe mwenzetu unaishi wapi??? Acha hizo!!! chuki yako haimzidishii wala kumpunguzia lolote......... ni bora useme humpendi au humfeel ila sio humjui, si kweli ni kauli za ku-hate hizo
My Dog's name is Diamond
ndiye msanii kipenzi cha wana africa masharik kwa sasa,kwa ubunifu,juhud na kujituma,amekua ndiye mwanamuzic ghari zaid tz(ni ten millions kwa show na mapromota deile wanampapatikia,kwa wiki cyo chin ya shows tatu mpaka nne)ndiye mwanamuzic anayepiga show zisizochosha(ana tuzo ya mtumbuizaji bora)on youtube video zake ndiyo zinatizamwa zaid kuliko mwanamuzic yeyote tz(video yake ya mbagala ishatizamwa na viewers zaidi ya laki 8,moyo wangu viewers zaid ya laki 5 .,kama hamjui,tayali amefanya collabo na J martins na mchakato wa video unaendelea kwa kutafuta ma-model(itarecodiwa tz na abroad) then atafanya collabo na p-square
na aliye nyuma ya mafanikio haya(aliye muunganisha na Psquare,Jmartins)ni meneja wake Ruge mutahaba
kwa haya.
na kwa uchache,ndani ya mda mfupi wa kua kwenye gemu tayari anamiriki gari la milion 60,anamiriki nyumba tatu,na tayari yupo kwe mchakato wa kujenga hotel yenye hadhi ya 4stars...sina budi kukupongeza na nina imani baada ya mda mfupi,atakua ni moja ya wanamuzic wakubwa barani africa
na wanaomtabiria atakua kama Mr nice,wanakosea sana
GO DIAMOND..WEWE NDIYE AINA YA WANAMUZIC TUNAOWAHITAJ
Hivi kwa nini Invisible asifunge mlango wa kujiunga wanachama hapa JF?
Ona sasa madhara ya hivi vipumbavu vinavyokurupuka na kutuletea mada za Facebook hapa.
Then mbaya zaidi ni kuwa kuna watu wanafumuka na matusi na mijineno ya kashfa kwa watu ambao labda hata hawajahusika katika kuleta huu ushuzi hapa...
ndiye msanii kipenzi cha wana africa masharik kwa sasa,kwa ubunifu,juhud na kujituma,amekua ndiye mwanamuzic ghari zaid tz(ni ten millions kwa show na mapromota deile wanampapatikia,kwa wiki cyo chin ya shows tatu mpaka nne)ndiye mwanamuzic anayepiga show zisizochosha(ana tuzo ya mtumbuizaji bora)on youtube video zake ndiyo zinatizamwa zaid kuliko mwanamuzic yeyote tz(video yake ya mbagala ishatizamwa na viewers zaidi ya laki 8,moyo wangu viewers zaid ya laki 5 .,kama hamjui,tayali amefanya collabo na J martins na mchakato wa video unaendelea kwa kutafuta ma-model(itarecodiwa tz na abroad) then atafanya collabo na p-square
na aliye nyuma ya mafanikio haya(aliye muunganisha na Psquare,Jmartins)ni meneja wake Ruge mutahaba
kwa haya.
na kwa uchache,ndani ya mda mfupi wa kua kwenye gemu tayari anamiriki gari la milion 60,anamiriki nyumba tatu,na tayari yupo kwe mchakato wa kujenga hotel yenye hadhi ya 4stars...sina budi kukupongeza na nina imani baada ya mda mfupi,atakua ni moja ya wanamuzic wakubwa barani africa
na wanaomtabiria atakua kama Mr nice,wanakosea sana
GO DIAMOND..WEWE NDIYE AINA YA WANAMUZIC TUNAOWAHITAJ
Teh teh teh! Mkuu umeua,ilaakumbuke tu si kila anayempigia makofi anamshangilia