connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Kitimoto ni tamu (utani pembeni)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
K.torati 14:8 "Na nguruwe kwa kuwa amepasuliwa kwato lakini hacheui,huyu ni najsi kwenu,msile nyama zao wala mizoga yao msiguse"
Marko 13 "akawapa ruhusa(Yesu), wale pepo WACHAFU wakatoka,wakaingia katika wale nguruwe...."
Najisi+mapepo≠halali
Kwani Hawa bandugu wanasoma hii biblia?wao wanabeba tu.
Kama ni halali ngoja walete andiko
Nahisi wametumiq kigezo hiki...
Negative + negative = positive
Haram haram halali
Unakutana na mtu anadai hali Kitimoto lakini anakula SAUSAGE, si kujidanganya nafsi? Bora uamue mojaaaa
[emoji780]Kitimoto=uharo
Dah..,, wapi huko? Huku kwetu nyama ya n g'ombe ni 8,000 na kitu moto ni 13.000 [emoji12]Watengenezaji wahuni wengi wao wanaandika ni nyama ya ng'ombe but kiukweli ni zaidi nguruwe. Infact, wenzetu wanaojizuia kula kitimoto wanakosa vingi
Nahisi wametumiq kigezo hiki...
Negative + negative = positive
Haram haram halali
Marko 7:18-22
18Akawaambia, Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia unajisi; 19kwa sababu hakimwingii moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda chooni? Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote. 20Akasema, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi. 21Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati, 22wivi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila, ufisadi, kijicho, matukano, kiburi, upumbavu.
Mwanzo 9:3
3Kila kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula chenu, kama nilivyowapa mboga za majani, kadhalika nawapa
Vipi kuhusu ngamiaYEYOTE ANAEKULA HIYO KITU AJUE ANAKULA MIZOGA. MAPUNDA,MAFARASI YANI NI HATARI SANA HAYO MADUDU.....