Unadai huli Kitimoto lakini Sausage unakula

Maustadh wengi nakula nao kitimoto. Hii kitu haikwepeki!
 
Ngosha piga marufuku watu kula KITIMOTO hadharani inaporomosha uchumi wa familia. Fikiria 1kg = 12,000 TSH.+ Ndizi @ 500, bia @ 2,300 + Muda mtu anaopoteza kusubiria iive zaid ya dakika 60. huu ni upotevu wa rasilimali fedha+ muda.
 
Kwa walaji wa kitimoto naomba chukua kipande kibichi cha kitimoto weka kwny bakuli hlf chukua coca cola mwagia kwa juu irowane hlf tulia dakika kadhaa huku macho yako yakiikodolea hcho kipande cha mnofu then utakachokiona ktk kipande hcho ndo kilichofanya tuharamishiwe sisi binadamu cz inatudhuru nyama yake.
 
Hii kitimoto imenikumbusha chimbo langu la siku nyingi pale Peters Majengo moshi
 
Najisi=inayoambukiza maradhi(infectious). Ndio maana mwenye ukoma, mwanamke kwenye hedhi na viumbe wa majini ambao sio jamiii ya samaki wote walihesabiwa najisi.
Kwenye ulimwengu huu wa micro ovens kitimoto cha kuchoma kwenye mkaa ndio kinabakia najisi!
 
Tangu nione clip zinavyotengezwa Daaa ni miuchafu mitupu....kuku anasagwa na manyoya na mikwato na miutumbo yenye nya ndio wanatengeneza sausages.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…