Unadai huli Kitimoto lakini Sausage unakula

Mie pia huwa ninashangaa wale ambao hawali kitimoto lakini anakula denda na mla kitimoto!!!
 
Jana nilikaa na ostadhi mmoja maeneo Fulani tukagonga castle na kitimoto kisha akanambia nifunge bakuli langu.

Delta Force
 
Unakutana na mtu anadai hali Kitimoto lakini anakula SAUSAGE, si kujidanganya nafsi? Huku ni kujidanganya nafsi, na wakati unajua imani ya dini hairuhusu. Takbiiiriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Nani huyo mkuu. Alafu mkuu kwa jambo la imani mtu akifanya jambo bila kujua wala sio dhambi kumbuka hilo. Yani mfano mtoto akizaliwa porini hajawahi hubitiwa injili akitukana huko akikashifu n.k then akafa jua huyo yupo safe mbele za Mungu maana kafanya asilolijua ila ukishajua unatakiwa kuacha.

Alafu mkuu, vipi ukristo/uislamu unazungumziaje kumkashifu mwenzio kwa nia ya kutaka kumuudhi, au kuanzisha ugomvi, vita nk kama ulivyofanya wewe?

Maana unaweza ukadhani upo sahihi kumbe wewe ndio unajidanganya kuliko hao unaohisi wanajidanganya.

Tumeelekezwa kuwahubiria injili. Vipi hii yako ni injili pia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…