Unadhani kama tokea 2021 hadi 2023 Tengua Teua yake imefikia mara 13, je, kwa 2025 hadi 2030 unadhani itafikia mara ngapi?

Unadhani kama tokea 2021 hadi 2023 Tengua Teua yake imefikia mara 13, je, kwa 2025 hadi 2030 unadhani itafikia mara ngapi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna Mtu ananisikitisha sana GENTAMYCINE kwani kila akiingizwa Mtegoni ili aharibu na kuonyesha kuwa hajui Kitu nae anaingia tu mazima mazima halafu Waliompo za ( Waliomchomesha ) wanamcheka tu Dar es Salaam, Zanzibar, Dodoma na Utemini Mwanza.
 
Back
Top Bottom