johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni swali tu la Jumamosi,
Unadhani kwanini Mbowe na Mnyika wanang'ang'ania CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu kwa Tume ile ile ya Uchaguzi?
Swali hili linakuja kufuatia kauli ya Naibu Katibu Mkuu mpya wa CCM Mh. Mongella aliyesema kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa kusaka kushika Dola hakuna Kubembelezana.
Sabato Njema.😀😀
Unadhani kwanini Mbowe na Mnyika wanang'ang'ania CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu kwa Tume ile ile ya Uchaguzi?
Swali hili linakuja kufuatia kauli ya Naibu Katibu Mkuu mpya wa CCM Mh. Mongella aliyesema kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa kusaka kushika Dola hakuna Kubembelezana.
Sabato Njema.😀😀