johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Haya 🐼Wewe binafsi unatakaje? Wasuse? Kuna wakati hata kama umejivika ukada au unatumika, jaribu kuwaza japo kwa kutumia akili.
CCM na serikali yake imehamua kuweka pamba masikioni kuhusu katiba mpya na kuwa na tume huru, kususia uchaguzi maana yake ni kuwachia kila kitu. Sasa huyo Mbowe na Mnyika unataka wafaje?
Haya mambo yanayolalamikiwa na Chadema si kwa manufaa yao tu, ni kwa manufaa ya wanchi na taifa lote, hisipokuwa mmepofushwa na upambe basi endeleeni kujitoa ufahamu.
Well said. Kuna ujinga umeenea sana nchini kufikiri kwamba hilo ni tatizo la CHADEMA. Wajinga wanafurahi kwamba CHADEMA imeshindwa; eti imezidiwa akili na CCM!Hivi hii Katiba mpya ni kwa faida ya Chadema tu au ni kwa Watanzania wote? Maana naona mkwamo wake unaoneka kwa wengine kama ni kuikomoa Chadema.
Sasa Watanganyika wanazungumzia Goli la Yanga 🐼Well said. Kuna ujinga umeenea sana nchini kufikiri kwamba hilo ni tatizo la CHADEMA. Wajinga wanafurahi kwamba CHADEMA imeshindwa; eti imezidiwa akili na CCM!
Hawaoni kwamba katiba mpya na tume huru ya uchaguzi zitawarudishia wananchi NGUVU ya kuchagua na kuwawajibisha viongozi wao. Hawalioni hilo kabisa! Ni upumbavu wa hali ya juu sana.
Watu wako tayari kuwahakikishia mafisadi wa CCM utawala wa milele bila kujali kuwa hao wezi wamefikia hatua ya kuwadharau kabisa wananchi kiasi cha kutaka kuabudiwa.
Pesa yao inafujwa kwa fujo, huduma za jamii zinazidi kudumaa, ajira na fursa za kiuchumi zinazidi kuwa finyu, upendeleo wa kikabila, kidini, kindugu unashika kasi, n.k. Lakini hawataki nyenzo za kuwawezesha kubadili uongozi. Eti bora zimwi linalotujua! Kama vile hawajui kuwa nchi ina watu wengi sana wenye uwezo mkubwa na vipaji vya uongozi; wengi wasio na majina yanoyovuma katika jamii.
Nchi yenye watu milioni 60+ watu kila siku wanazungumza: Makonda, Mwigulu, Makamba, Ndugai, … and all such trash. Acha nchi ipigwe hadi iingie kuzimu labda fahamu ndio zitarejea!
Inasikitisha sana. Na mtaji wa CCM ni ujinga na umasikini wa Watanganyika ndiyo wanazidi kuifisadi nchi wafaidi na familia zao na kurithishana utawala . Haingii akilini mtu anakula mlo mmoja kwa siku na akaja na kauli eti heri zimwi likujualo akimaanisha CCM iendelee kutawala na anamalizia na kibwagizo eti kwani Katiba mpya itaniongezea sahani ya ugali. Ngoja niishie hapa.Well said. Kuna ujinga umeenea sana nchini kufikiri kwamba hilo ni tatizo la CHADEMA. Wajinga wanafurahi kwamba CHADEMA imeshindwa; eti imezidiwa akili na CCM!
Hawaoni kwamba katiba mpya na tume huru ya uchaguzi zitawarudishia wananchi NGUVU ya kuchagua na kuwawajibisha viongozi wao. Hawalioni hilo kabisa! Ni upumbavu wa hali ya juu sana.
Watu wako tayari kuwahakikishia mafisadi wa CCM utawala wa milele bila kujali kuwa hao wezi wamefikia hatua ya kuwadharau kabisa wananchi kiasi cha kutaka kuabudiwa.
Pesa yao inafujwa kwa fujo, huduma za jamii zinazidi kudumaa, ajira na fursa za kiuchumi zinazidi kuwa finyu, upendeleo wa kikabila, kidini, kindugu unashika kasi, n.k. Lakini hawataki nyenzo za kuwawezesha kubadili uongozi. Eti bora zimwi linalotujua! Kama vile hawajui kuwa nchi ina watu wengi sana wenye uwezo mkubwa na vipaji vya uongozi; wengi wasio na majina yanoyovuma katika jamii.
Nchi yenye watu milioni 60+ watu kila siku wanazungumza: Makonda, Mwigulu, Makamba, Ndugai, … and all such trash. Acha nchi ipigwe hadi iingie kuzimu labda fahamu ndio zitarejea!
Mbowe na Mnyika wamemzunguka Lissu ndio maana lissu kasusaNi swali tu la Jumamosi,
Unadhani kwanini Mbowe na Mnyika wanang'ang'ania CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu kwa Tume ile ile ya Uchaguzi?
Swali hili linakuja kufuatia kauli ya Naibu Katibu Mkuu mpya wa CCM Mh. Mongella aliyesema kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa kusaka kushika Dola hakuna Kubembelezana.
Sabato Njema.😀😀
Mambo ya ngawira, shekel, yuan, dinar, euro, ruble aka mapeneNi swali tu la Jumamosi,
Unadhani kwanini Mbowe na Mnyika wanang'ang'ania CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu kwa Tume ile ile ya Uchaguzi?
Swali hili linakuja kufuatia kauli ya Naibu Katibu Mkuu mpya wa CCM Mh. Mongella aliyesema kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa kusaka kushika Dola hakuna Kubembelezana.
Sabato Njema.😀😀
Unadhani kwanini Mbowe na Mnyika wanang'ang'ania CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu kwa Tume ile ile ya Uchaguzi?
Umefunga Mjadala bwashee 😄😄Jibu la Jumamosi kwenye picha
Uchawa ni laana acheni vijanaWalihadaiwa na Samia wakapoteza muda mrefu kuamini kwamba mama ana nia njema.
Wamestuka muda umeenda, kila wanachojaribu hakiendi kuanzia mikutano mpk maandamano.
In short, chadema wamezidiwa akili sana na huyu mama.
Halafu mama wala hatumii nguvu.
Hata bila kuhadaiwa, CHADEMA hawawezi kulazimisha Katiba mpya wala tume huru bila ridhaa ya Rais. CCM ilishawapiga pini Watanzania kiasi kwamba hawana mpango wa kujiunga na mapambano ya kudai mabadiliko nchini.
CHADEMA wanatumainia “people’s power” kufanikisha ajenda zao. Sasa CCM wameshaipiga pini hiyo people’s power. Janja ya CHADEMA imeishia hapo.
Mkuu jaribu kupunguza hasira kwa Mbowe kuhusu habari ya Lowasa. It wasn’t that bad, really. Hata kwenye uchaguzi wa 2015 mchezo uliochezwa na dola unajulikana. CHADEMA hawakushindwa kwa kura. Na ndio uchaguzi walioperform the best. Kilicho dhahiri ni kuwa CHADEMA walipunguza sana MORAL CURRENCY yao. Lakini mkakati wa uchaguzi hawakukosea.People's power ya cdm iliisha baada ya Mbowe kumuokota Lowassa yule mzee tapeli wa kisiasa. Alipokuja cdm akawafundiaha siasa za uoga eti ni siasa za kistaarabu.
Hakuna chama cha upinzani chenye jeuri ya kukataa pesa za uchaguzi Tanzania hakuna hivi vyama vinapata mgao wa pesa za kampeni na ndio wabane bane humohumo na wao wapate chochoteNi swali tu la Jumamosi,
Unadhani kwanini Mbowe na Mnyika wanang'ang'ania CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu kwa Tume ile ile ya Uchaguzi?
Swali hili linakuja kufuatia kauli ya Naibu Katibu Mkuu mpya wa CCM Mh. Mongella aliyesema kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa kusaka kushika Dola hakuna Kubembelezana.
Sabato Njema.😀😀
Ha ha bwashee...nimeongeza kielelezo tu😉Umefunga Mjadala bwashee 😄😄
Ruzuku tamuNi swali tu la Jumamosi,
Unadhani kwanini Mbowe na Mnyika wanang'ang'ania CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu kwa Tume ile ile ya Uchaguzi?
Swali hili linakuja kufuatia kauli ya Naibu Katibu Mkuu mpya wa CCM Mh. Mongella aliyesema kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa kusaka kushika Dola hakuna Kubembelezana.
Sabato Njema.😀😀
Nakubaliana na wewe 😂Ruzuku tamu
Unafikiri kwanini CCM wanatumia mbinu zilezile za 2020 kuharibu uchaguzi???😀🤔🤔Ni swali tu la Jumamosi,
Unadhani kwanini Mbowe na Mnyika wanang'ang'ania CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu kwa Tume ile ile ya Uchaguzi?
Swali hili linakuja kufuatia kauli ya Naibu Katibu Mkuu mpya wa CCM Mh. Mongella aliyesema kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa kusaka kushika Dola hakuna Kubembelezana.
Sabato Njema.😀😀
Mbowe na myika wamechika labda waachi ngazi tu waje watu wengineNi swali tu la Jumamosi,
Unadhani kwanini Mbowe na Mnyika wanang'ang'ania CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu kwa Tume ile ile ya Uchaguzi?
Swali hili linakuja kufuatia kauli ya Naibu Katibu Mkuu mpya wa CCM Mh. Mongella aliyesema kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa kusaka kushika Dola hakuna Kubembelezana.
Sabato Njema.😀😀
Ni swali tu la Jumamosi,
Unadhani kwanini Mbowe na Mnyika wanang'ang'ania CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu kwa Tume ile ile ya Uchaguzi?
Swali hili linakuja kufuatia kauli ya Naibu Katibu Mkuu mpya wa CCM Mh. Mongella aliyesema kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa kusaka kushika Dola hakuna Kubembelezana.
Sabato Njema.😀😀